Mtazamo wa raia wa nchi za Afrika wanaoishi Ulaya na Marekani juu ya Hayati Rais Magufuli

Alikuwa na mabaya mengi kuliko mazuri,na alikuwa mtaalam wa propaganda kuliko hata hitler hao wanaomsifia walijazwa propaganda tu ni kama kagame tu,ana zuri moja tu ila mabaya mengi
Wewe mpuuzi tu
 

Thanx for sharing..

Naona ulikuwa unambishia jamaa km chanjo haitakuja....na ikaja na bado vingine sasa watu wagundue how powerfull Magufuli was..kupambana na pressure za mabeberu si kazi nyepesi
 
Tanzanian President John Magufuli is in the country and working hard in his office, his prime minister said on Friday, squashing rumours that he has contracted coronavirus.
 
Huu upuuzi wa sukuma gang pele chato
Hata Hitler mussoline Amini dada bokasa museveni na madikteta wengine wengi wana watu wanaowaunga mkono na kuwasifia kwa sababu zao wenyewe kwa magufuli kila aliyemtazama kutokea angle ya nje na mbali atamuona kama hao rafiki zako ila njoo mtazame magufuli kama magufuli kwenye angle ya ndani utafahamu jina la kumuita mwenyewe.
 
Thanx for sharing..

Naona ulikuwa unambishia jamaa km chanjo haitakuja....na ikaja na bado vingine sasa watu wagundue how powerfull Magufuli was..kupambana na pressure za mabeberu si kazi nyepesi
Mkuu,

Hatari sana. Huyo jamaa yupo njema sana.

He got a contract to work in South Asia and China on something and it was then that we met.

Anajua balaa. Hapo kuna msgs nyengine siwezi kuziweka hapa sababu za kiusalama.

But the guy is genius.
 
Kwenye madini alichofanikiwa ni kuanzisha mineral markets ambazo zimepunguza smuggling somehow
The rest is the same
 
Mkuu,

Hatari sana. Huyo jamaa yupo njema sana.

He got a contract to work in South Asia and China on something and it was then that we met.

Anajua balaa. Hapo kuna msgs nyengine siwezi kuziweka hapa sababu za kiusalama.

But the guy is genius.

Pain...

Mkuu, very painful kumpoteza JPM

Failure isnโ€™t losing its learning...may he rest in peace...
 
Mafisad na wafuasi wao hawatakuelewa,na wanaomchukia nchini ni 5% out of 100%
 
Sifa za uchochoroni siyo sifa kwanza hakujulikana Duniani!! Africa, alikuwa anapita ivi!......Mungu alimkasrikia akafa!! angalia clip za south africa kikwete alimfunika mbaya!

sikia weye bana kuba...hata shetani alipendwa sana, na Malaika waasi Mbinguni wkt ana ongoza maasi dhidi ya Mungu, ni wazi theluthi tatu ya Malaika walimuunga Mkono shetani! wakaondoka nae mpaka leo! ni kawaida kwa wapenda maovu wote!!

Hata njia ya kwenda mbinguni ni nyembaba sana wachache tuta pita humo! lkn la kwenda motoni ni kuuubwa sababu lina wafuasi wengi, najua ulifurahia watu kuuawa kwa marisasi mchana kweupee bila uchunguzi!!

sasa iko siku isiyokuwa na tarehe uchunguzi wa haya yooote yaliyo fanywa na huyu jiwe yatachunguzwa kwa kina na Historia itaandikwa upya! kwanza mbinafsi, mpenda sifa! burigi, uwanja wa ndege kijijini kwao wapi na wapi!!

Huyu Jiwe hata km mtamuunga mkono theluthi tatu ya wabongo bado ni mtu mbaya tu ''aliua bila chembe ya huruma kina AZoli Gwanda, Lisu, Ben saa Nane nk, walipotea mazimaaa, mpaka leo hatujui walizikwa wapi! jamani muuaji? unafurahi kabisaa!

tena basi wazi wazi! bila hata huruma? fikiria familia zao!! watoto walikuwa wanasomeshwa na hao Baba zao!! fikiria km Baba kipenzi ako ange fanyiwa hivo! ungekwenda South weye!! kisa Maendeleo?? yapi?

ivi kwanini aliwaua? aligonga mwamba kwa kijana Muhindi! lkn lengo ni ili afe! sasa jamani Roma Mkatoliki nae dogo yule alikosa nini jamani heee! eti unasema huyu wa hivi ni mtu mzuri kweli?

kwanza huko nje Duniani alimjua nani? hkn vyombo vya habari km vya magahribi kusema kwamba vita mtangaza faster nchi yenyewe ulimwengu wa tatu tu!! msijipe sifa kiviile!! huyo rafiki yako alikuwa mnafiki tu ili apate kuishi vyema kwenu!

Sasa ile Dhambi ilimtafuna manake mshahara wa Dhambi ni Mauti!! huyu jamaa alimdhihaki Mungu! kwa sababu alienda kanisani kushikana mikono na wachungaji! kutoa zaka na sadaka!

sadaka gani ya kumtumikia Mungu yenye Damu! za watu wake alio waumba!! hakujua kabisa kuwa ''Mungu hadhihakiwi'' shetani alimpofusha akili na macho! aibu sana kumshangilia muuaji na wewe umeshiriki tayari!

Nashangaa sana mtu una mshangilia mtawala muovu!! angalia kikwete nyerere wao walikuwa wanatubu kwa haki ya moyo kabisaa!! na wanalipia uovu wao!! lkn huyu? hakukumbuka kutubu! amekufa kawaacha kina kabendera!
 
Mafisad na wafuasi wao hawatakuelewa,na wanaomchukia nchini ni 5% out of 100%
Sikia dogo sisi kamwe hatumchukii Magufuri! msitulishe maneno ni dhambi pia kwenu km baba yenu huyo! ila tunacho chukia ni vitendo vyake vya kikatili dhidi ya Binadamu wenzake tena wabongo wa chini tu wasiokuwa na hatia, anao paswa kuwalinda,

Yeye angekuwa mbabe angeenda kusaidia nchi jirani zisipigwe na Al shaabab km Somalia na kenya, siyo kukimbizana na vijitu vidogo vidogo hivi !! Nyerere kidume kilikuwa frontline state! dhidi ya kaburu! na kweli ili tick!

afadhali hata angewafunga tu yakaisha lkn chuki za kutaka kuua kwa siri tena kwa risasi za moto bila kujali! km vipi si ange waita tu wampe mshiko! kwani unaona yule kijana muhindi alikwenda kumzika?

alikuwa anaua km anaua nzi! ili apate hela za ziada eti akaishi kwa anasa kijijini kwao tu basi! na kuwapendezesha wapiga kura wake! ni wazi Mungu hakupenda atawale, angesikia sauti ya Mungu nyikani angeishi mpaka leo! lkn kibri!!
 
AChana nao hao mkuu wana test zari wametumwa na Makonda!! ili atoke chimbo! utawala gani haukudumu huo
 
Ina maana Ma Rais wenzake hawakumjua! labda wale wa EAC tu baasi! tena Musean tu wkt anapita Butiamakwa Mama yetu akasikia
 
Ni rahisi sana mtu wa nje kumkubali Magu kuliko wa ndani ya nchi, huwezi sema kuminya democracy sio big deal ikiwa unajuwa wapinzani wapo zaidi ya 10m.

Yani ubomoe nyumba za watu Dsm na kuwaacha Mwanza kwasababu walikupigia kura!

Hao mabwege ni wakuwakutanisha na wazazi wa Ben Saa Nane pamoja na wahanga wa nyumba zao kubomolewa, amini nakwambia watabadili mtizamo wao.


Hayo ni machache tu kati ya mengi ambayo yanamuondolea mazuri ndugu mwendazake
 
Kuua na kupoteza watu, kupiga watu risasi, kuteka watu, kutaifisha mifugo, kufuga kundi la kuua watu almaarufu wasiojulikana, kupora uchaguzi kuanzia serikali za mitaa hadi serikali kuu, yeye ndiye chanzo cha kufa kwa soko la mazao mbalimbali n.k kiukweli haya mambo yaliwachefua Sana watz hivyo ukitaka kumpamba kwa hayo mema feki ni lazima utafute msaada kutoka nje lakini ndani ya nchi utapigwa kipigo cha mbwa coco
 
Kama vile sisi Watanzania tulivyokuwa tunamuona Mugabe ni Rais bora au baadhi ya watanzania wanaomuhusudu Kagame na Rwanda yake.
 
Offcourse kwa propaganda za Magufuli, yeyote aliye nje ya nchi na si mfuatiliaji wa mambo kwa undani atamuona Magufuli kama hero. Maguguli alijua kucheza na akili za watu, alijua kufanya propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ