Mtazamo: Waliounga mkono juhudi na kisha kuaminiwa na kupewa vitengo, huenda baadhi walitumwa na sasa ndio wanahusika na yanayoendeleea huko Twitter

Mtazamo: Waliounga mkono juhudi na kisha kuaminiwa na kupewa vitengo, huenda baadhi walitumwa na sasa ndio wanahusika na yanayoendeleea huko Twitter

Nyie mnachezewa tu
Ni sawa na wizi kumtupia mbwa mfupa ili ahangaike nao alafu mwizi apole

Usha sikia mkuu wa nchi analiongelea hilo la kigogo?
Mbona yale yasemwayo na hawa waitwao mawakala wa mabeberu immediately wanareact na wengine hata kupelekwa mahakamani

Kama hamjui osmotic principle ndio Hiyo.
Kigogo ni instrumental
Ambayo
Inanasa wale wasaliti wakweli wa system
Inafyonza taarifa zote za upinzani na wapinzani, huku kwa akili finyu za watanzania mkazani kuwa siri zinazo vuja ni za serikali kumbe ni kinyume chake

Jaribu tu sikumoja kabla huyu kigogo haja toa bomu lake
Uwaga kuna ka ukimya fulani kwenye system kanafanyika baadae ndipo mnamsikia kigogo

Hiyo ni propaganda wana wa by pass mind zenu mnashindwa ku reason
Mnajikuta mnakuwa busy kumfollow kigogo na kuwa mitandaoni huku issue za maana zikifanyika

Siasa ni sayansi na ina uwanja mpana.
Endelea kujifariji ndugu.
 
Back
Top Bottom