CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Habari wakuu,
Kuipata First eleven ya Simba ni pasua Kichwa. Kichwa kinauma, uanze na nani, nani umuweke wapi nk.
Kwa Ufundi kabisa, ningepata nafasi ya kuchagua kikosi ama kulishauri benchi ningeenda kama ifuatavyo.
1. Aishi Manura.
2. Shomari Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Enoch Enonga.
5. Mohamed Ottara.
6. Jonas mkude. Kinyonge*
7 Nelson Okwa.
8 Victor Akpan.
9. Manzoki hayupo. Moses phili.
10. Clotus Chamaaa
11. Agustin Okrah.
Benchi.
1. Kakolanya.
2.Mwenda.
3. Kennedy.
4 kanute.
5. Sackho
6. Boko.
7. MZUNGU.
1. Madhaifu ya Simba ni kukosa mshambuliaji mzuri kama Manzoki, na yanga ni wagumu Sana kufungika.
2 Kukosa kiungo mzuri wa UKABAJI, kusababisha Inonga kuonana Sana na Mayele.
Mechi hizi hazitabiriki, Simba WANGEKUWA na Manzoki wangeshinda 3-1
Kuipata First eleven ya Simba ni pasua Kichwa. Kichwa kinauma, uanze na nani, nani umuweke wapi nk.
Kwa Ufundi kabisa, ningepata nafasi ya kuchagua kikosi ama kulishauri benchi ningeenda kama ifuatavyo.
1. Aishi Manura.
2. Shomari Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Enoch Enonga.
5. Mohamed Ottara.
6. Jonas mkude. Kinyonge*
7 Nelson Okwa.
8 Victor Akpan.
9. Manzoki hayupo. Moses phili.
10. Clotus Chamaaa
11. Agustin Okrah.
Benchi.
1. Kakolanya.
2.Mwenda.
3. Kennedy.
4 kanute.
5. Sackho
6. Boko.
7. MZUNGU.
1. Madhaifu ya Simba ni kukosa mshambuliaji mzuri kama Manzoki, na yanga ni wagumu Sana kufungika.
2 Kukosa kiungo mzuri wa UKABAJI, kusababisha Inonga kuonana Sana na Mayele.
Mechi hizi hazitabiriki, Simba WANGEKUWA na Manzoki wangeshinda 3-1