mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
1:Chaguzi Dodoma vs Mlimani city.
Hapa naipongeza chadema kama chama,wajumbe kama watoa maamuzi na wagombea Kwa kuwa kuonyesha utayari wa kupokea matokeo yoyote ambayo wangeyapata.
PONGEZI zaidi ziende Kwa wajumbe wa chadema Kwa kufanya uchaguzi uwe uchaguzi na sio kikao.
HUKU DODOMA Bado tupo kwenye ujinga,woga tamaa,mazoea na unafiki uliokithiri.
Hapa niseme tu CCM ndio inaidumaza Tanzania.
2:Lisu vs CCM
Hapa CCM wameletewa fupa,tutarajie zile siasa za kati ya 2005/2014 kurejea. Siasa zile ndizo CCM ilivuliwa nguo na vilaza wengi wa chama changu waliumbuka. Mbowe Kwa sasa tukubali tu akili ilishagota.
MTAZAMO WANGU hapa Bado chadema wamefaulu na sisi Wana CCM tujiandae Kwa hoja,vitendo na sera imara.Katu tusijiandae Kwa virungu na mabomu.
3:Lisu vs Lisu.
Amepewa matarajio makubwa sana na chama chake,mashabiki na watanzania wengi hasa wanamabadiliko. Ana mlima mrefu sana wa kuwathibitishia wafuasi wake kwamba walikuwa sahihi kumng'oa Mbowe kumweka yeye. Kuna kipindi huyu bwana ana UTOTO Fulani hivi,akiacha UTOTO huo hakika hata ikulu itamfaa:
4: Watanzania.
Hawa ni watu wa hovyo,wakati mwingine huwezi Jua wanataka nini.Mfano wa mambo hayo ni vyeti feki,ushoga rasirimali na viongozi. Namaanisha kiongozi anaweza kuwa mzuri,ila watanzania wakakuangusha
Unaweza ukataka kuleta mabadiliko chanya ambayo watu hawako tayari mayo.
Mwisho niseme tu CCM ni watanzania,upinzani ni watanzania.
Pia tukumbuke wanasiasa sio wa kuwaamini,tukomae wenyewe
Hapa naipongeza chadema kama chama,wajumbe kama watoa maamuzi na wagombea Kwa kuwa kuonyesha utayari wa kupokea matokeo yoyote ambayo wangeyapata.
PONGEZI zaidi ziende Kwa wajumbe wa chadema Kwa kufanya uchaguzi uwe uchaguzi na sio kikao.
HUKU DODOMA Bado tupo kwenye ujinga,woga tamaa,mazoea na unafiki uliokithiri.
Hapa niseme tu CCM ndio inaidumaza Tanzania.
2:Lisu vs CCM
Hapa CCM wameletewa fupa,tutarajie zile siasa za kati ya 2005/2014 kurejea. Siasa zile ndizo CCM ilivuliwa nguo na vilaza wengi wa chama changu waliumbuka. Mbowe Kwa sasa tukubali tu akili ilishagota.
MTAZAMO WANGU hapa Bado chadema wamefaulu na sisi Wana CCM tujiandae Kwa hoja,vitendo na sera imara.Katu tusijiandae Kwa virungu na mabomu.
3:Lisu vs Lisu.
Amepewa matarajio makubwa sana na chama chake,mashabiki na watanzania wengi hasa wanamabadiliko. Ana mlima mrefu sana wa kuwathibitishia wafuasi wake kwamba walikuwa sahihi kumng'oa Mbowe kumweka yeye. Kuna kipindi huyu bwana ana UTOTO Fulani hivi,akiacha UTOTO huo hakika hata ikulu itamfaa:
4: Watanzania.
Hawa ni watu wa hovyo,wakati mwingine huwezi Jua wanataka nini.Mfano wa mambo hayo ni vyeti feki,ushoga rasirimali na viongozi. Namaanisha kiongozi anaweza kuwa mzuri,ila watanzania wakakuangusha
Unaweza ukataka kuleta mabadiliko chanya ambayo watu hawako tayari mayo.
Mwisho niseme tu CCM ni watanzania,upinzani ni watanzania.
Pia tukumbuke wanasiasa sio wa kuwaamini,tukomae wenyewe