Mtazamo wangu kuhusu elimu yetu

Mtazamo wangu kuhusu elimu yetu

Mathayo Christopher

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
413
Reaction score
289
Kwa miaka mingi sasa tumeacha wanasiasa wakijadili mitazamo mbalimbali ya mustakabali wa elimu yetu hasa wakiangalia output ilioko mtaani bila ajira. Haya ni maoni yangu ya nini kifanyike.

Mosi - Kwa wanaohisi mtaala wetu una mapungufu mengi sikubaliani nao changamoto kubwa katika elimu yetu tumewekeza nguvu nyingi kwenye nadharia kwa ngazi zote za elimu, mtazamo wangu napendekeza field zote zifanyike kwa mwaka mzima badala ya kinachofanyika sasa ni usanii tupu kwa mantiki hiyo graduate wa elimu afanye kwa vitendo Akiwa shuleni mwaka mzimar hivyo kwa graduate wa engineering aende field mwaka au hata miaka miwili na wahitimu wa beta ifanyike the same thing.

Pili - Tuondoe short course na kama zitatolewa kuwe na sababu ya msingi hasa kwa ajili ya kuboresha taaluma na ufanisi ndani ya idara

Tatu - Kuwe na utaratibu wa kuwakopesha mitaji wahitimu kutokana na project proposal watakazoainisha ili waweze kujiajiri.

Mwisho vyombo vya maamuzi vinvyotokana na uwakilishi wa wananchi yaan baraza la madiwani na bunge kuwe na sifa za kitaaluma tofauti na ilivyo sasa yani mtoto wa la kwanza anaejuwa kusoma na kuandika kijacho mnyima haki ya kugombea nafasi za kisasi ni umri.
 
Kwenye field ya engineering tunasoma vitu vikubwa Sana, ambavyo hapa Tanzania practically sio applicable kutokana na uchumi duni tulionao, viwanda vingi tulivyonavyo vinafanya assamble tu ya product.
 
Kwenye field ya engineering tunasoma vitu vikubwa Sana , ambavyo hapa Tanzania practically sio applicable kutokana na uchumi duni tulionao, viwanda vingi tulivyonavyo vinafanya assamble tu ya product.
Hapa ndio panahitajika field zifanyike hata nje ya nchi.
 
Kwa miaka mingi sasa tumeacha wanasiasa wakijadili mitazamo mbalimbali ya mustakabali wa elimu yetu hasa wakiangalia output ilioko mtaani bila ajira. Haya ni maoni yangu ya nini kifanyike.

Mosi - Kwa wanaohisi mtaala wetu una mapungufu mengi sikubaliani nao changamoto kubwa katika elimu yetu tumewekeza nguvu nyingi kwenye nadharia kwa ngazi zote za elimu, mtazamo wangu napendekeza field zote zifanyike kwa mwaka mzima badala ya kinachofanyika sasa ni usanii tupu kwa mantiki hiyo graduate wa elimu afanye kwa vitendo Akiwa shuleni mwaka mzimar hivyo kwa graduate wa engineering aende field mwaka au hata miaka miwili na wahitimu wa beta ifanyike the same thing.

Pili - Tuondoe short course na kama zitatolewa kuwe na sababu ya msingi hasa kwa ajili ya kuboresha taaluma na ufanisi ndani ya idara

Tatu - Kuwe na utaratibu wa kuwakopesha mitaji wahitimu kutokana na project proposal watakazoainisha ili waweze kujiajiri.

Mwisho vyombo vya maamuzi vinvyotokana na uwakilishi wa wananchi yaan baraza la madiwani na bunge kuwe na sifa za kitaaluma tofauti na ilivyo sasa yani mtoto wa la kwanza anaejuwa kusoma na kuandika kijacho mnyima haki ya kugombea nafasi za kisasi ni umri.
najaribu ku-imagine hizo garama za field mwaka mzima!
 
National Qualification Framework (NQF) ndio mwarobaini wa matatizo kwenye elimu.
 
Back
Top Bottom