Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

smarte_r

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
4,564
Reaction score
12,014
asilimia kubwa ya wakenya wanaume hupenda kuvaa bangili za shanga mkononi.

nataka kuwafahamisha hawa jamaa kuwa urembo wowote unaotokana na shanga huku kwetu tz tunauhusisha na masuala ya wanawake.

ukiondoa wanaume toka jamii ya wamasai, ni agharabu sana kwa mwanaume wa kitanzania kuvaa kitu chochote kilichowekewa urembo wa shanga, na akivaa lazima tutilie shaka uanaume wake.

nasikia huwa mnajitetea eti mnavaa bangili za shanga ili kuonyesha identity na uzalendo kwa nchi yenu. huo ni utetezi wa kijinga. hauwezi kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa kuvaa shanga.

sisi wanaume wa kitanzania hatuvai bangili za shanga. tunapofika nchi za watu ile first impression tu inamwambia mtu kuwa huyu ni mtanzania. kwanza tuna haiba nzuri(hatuna sura za kutisha kama nyinyi), ucheshi, ukarimu na namna tunavyozungumza kiswahili kwa ufasaha.
FB_IMG_1570025675896.jpeg
FB_IMG_1570025694487.jpeg
FB_IMG_1570025718674.jpeg
FB_IMG_1570025731980.jpeg
FB_IMG_1570025827492.jpeg
FB_IMG_1570025808258.jpeg
 
asilimia kubwa ya wakenya wanaume hupenda kuvaa bangili za shanga mkononi.

nataka kuwafahamisha hawa jamaa kuwa urembo wowote unaotokana na shanga huku kwetu tz tunauhusisha na masuala ya akina wanawake.

ukiondoa wanaume toka jamii ya wamasai, ni agharabu sana kwa mwanaume wa kitanzania kuvaa kitu chochote kilichowekewa urembo wa shanga, na akivaa lazima tutilie shaka uanaume wake.

nasikia huwa mnajitetea eti mnavaa bangili za shanga ili kuonyesha identity na uzalendo kwa nchi yenu. huo ni utetezi wa kijinga. hauwezi kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa kuvaa shanga.

sisi wanaume wa kitanzania hatuvai bangili za shanga. tunapofika nchi za watu ile first impression tu inamwambia mtu kuwa huyu ni mtanzania. kwanza tuna haiba nzuri(hatuna sura za kutisha kama nyinyi), ucheshi, ukarimu na namna tunavyozungumza kiswahili kwa ufasaha.View attachment 1221788View attachment 1221789View attachment 1221790View attachment 1221791View attachment 1221792View attachment 1221793
Kunya ulale.
 
Mada kama hizi ndio mojawapo wa sababu huwa tunawadharau sana wanaume wa Kitanzania japo hatuwachukii, yaani mna tabia za kike karibia nyote, mna macho ya umbea umbea, ukiwa na mwanaume wa Kitanzania, atakukagua kagua kimya kimya kila ulichovaa huku akikenua meno na kuongea kistaarabu, ila hapo anawashwa lini mtaachana aende kukusema kwa wenzake jinsi ulivyokua umevaa, mara kofia, mara suruali, mara mkanda......ilhali muda wote huo hakukutajia chochote.

Ndio maana mkija huku hatuwezi kuwakaribisha manyumbani kwetu, kama ni kikao bora kiishie mjini kila mmoja aende zake, maana ukikaribshwa, watoto watakuamkia kwa furaha, utapokelewa kwa heshima na sote tutakua na furaha, ila ukitoka tu, yaani utatangaza hadi rangi ya kikmbe, paka, kila kitu, mpo ovyoo sana, haya muachie mabinti wenu muanze kuwa na tabia za kiume.
 
asilimia kubwa ya wakenya wanaume hupenda kuvaa bangili za shanga mkononi.

nataka kuwafahamisha hawa jamaa kuwa urembo wowote unaotokana na shanga huku kwetu tz tunauhusisha na masuala ya akina wanawake.

ukiondoa wanaume toka jamii ya wamasai, ni agharabu sana kwa mwanaume wa kitanzania kuvaa kitu chochote kilichowekewa urembo wa shanga, na akivaa lazima tutilie shaka uanaume wake.

nasikia huwa mnajitetea eti mnavaa bangili za shanga ili kuonyesha identity na uzalendo kwa nchi yenu. huo ni utetezi wa kijinga. hauwezi kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa kuvaa shanga.

sisi wanaume wa kitanzania hatuvai bangili za shanga. tunapofika nchi za watu ile first impression tu inamwambia mtu kuwa huyu ni mtanzania. kwanza tuna haiba nzuri(hatuna sura za kutisha kama nyinyi), ucheshi, ukarimu na namna tunavyozungumza kiswahili kwa ufasaha.View attachment 1221788View attachment 1221789View attachment 1221790View attachment 1221791View attachment 1221792View attachment 1221793
Lia basi
 
Kama ni mtazamo wako ni sawa, ila nyang'au hapana tambua. Huo ni utamaduni wa makabila karibia tatu robo nchini Kenya, sio wamaasai tu. Utalia sana, nyanga'u wanazivaa hadi ndani ya ikulu ya mzee wa mikwara! Hutaelewa virahisi kwasababu nchi yako haikupi motisha wa kuwa mzalendo damu.
ojojmzuj7rgnq6sfale5b8462eb25bd1.jpg
 
Mada kama hizi ndio mojawapo wa sababu huwa tunawadharau sana wanaume wa Kitanzania japo hatuwachukii, yaani mna tabia za kike karibia nyote, mna macho ya umbea umbea, ukiwa na mwanaume wa Kitanzania, atakukagua kagua kimya kimya kila ulichovaa huku akikenua meno na kuongea kistaarabu, ila hapo anawashwa lini mtaachana aende kukusema kwa wenzake jinsi ulivyokua umevaa, mara kofia, mara suruali, mara mkanda......ilhali muda wote huo hakukutajia chochote.

Ndio maana mkija huku hatuwezi kuwakaribisha manyumbani kwetu, kama ni kikao bora kiishie mjini kila mmoja aende zake, maana ukikaribshwa, watoto watakuamkia kwa furaha, utapokelewa kwa heshima na sote tutakua na furaha, ila ukitoka tu, yaani utatangaza hadi rangi ya kikmbe, paka, kila kitu, mpo ovyoo sana, haya muachie mabinti wenu muanze kuwa na tabia za kiume.

Napendanga vile unakuanga umesoma hawa wasee. 😅 😅 😅
 
Mada kama hizi ndio mojawapo wa sababu huwa tunawadharau sana wanaume wa Kitanzania japo hatuwachukii, yaani mna tabia za kike karibia nyote, mna macho ya umbea umbea, ukiwa na mwanaume wa Kitanzania, atakukagua kagua kimya kimya kila ulichovaa huku akikenua meno na kuongea kistaarabu, ila hapo anawashwa lini mtaachana aende kukusema kwa wenzake jinsi ulivyokua umevaa, mara kofia, mara suruali, mara mkanda......ilhali muda wote huo hakukutajia chochote.

Ndio maana mkija huku hatuwezi kuwakaribisha manyumbani kwetu, kama ni kikao bora kiishie mjini kila mmoja aende zake, maana ukikaribshwa, watoto watakuamkia kwa furaha, utapokelewa kwa heshima na sote tutakua na furaha, ila ukitoka tu, yaani utatangaza hadi rangi ya kikmbe, paka, kila kitu, mpo ovyoo sana, haya muachie mabinti wenu muanze kuwa na tabia za kiume.
hongera kwa kuvaa bangili za shanga.
 
Danganyikan men are very jealous of Kenyan men. I wonder why
..na ukiona mwanaume ambaye ana wivu na mwanaume mwenzie kuna uwezekano ye' ni shoga.
Cc:Mleta mada (kidonda11 kwa ID nyingine

Haiya... Kadoda11????
Alitoweka nikadhani amenyakuliwa na wasiojulikana ambao hubabaisha Tanzania yote, kumba kabadili ID.
 
Mada kama hizi ndio mojawapo wa sababu huwa tunawadharau sana wanaume wa Kitanzania japo hatuwachukii, yaani mna tabia za kike karibia nyote, mna macho ya umbea umbea, ukiwa na mwanaume wa Kitanzania, atakukagua kagua kimya kimya kila ulichovaa huku akikenua meno na kuongea kistaarabu, ila hapo anawashwa lini mtaachana aende kukusema kwa wenzake jinsi ulivyokua umevaa, mara kofia, mara suruali, mara mkanda......ilhali muda wote huo hakukutajia chochote.

Ndio maana mkija huku hatuwezi kuwakaribisha manyumbani kwetu, kama ni kikao bora kiishie mjini kila mmoja aende zake, maana ukikaribshwa, watoto watakuamkia kwa furaha, utapokelewa kwa heshima na sote tutakua na furaha, ila ukitoka tu, yaani utatangaza hadi rangi ya kikmbe, paka, kila kitu, mpo ovyoo sana, haya muachie mabinti wenu muanze kuwa na tabia za kiume.
No offence !!! Hivi wakenya na nyie mna utaratibu wa kupokea wageni? Kiukweli nyie ni moja ya watu wachoyo mno
 
Back
Top Bottom