Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Aghalabu - Often

Nadra - Rare.

Hizo shanga bongo tumevaa enzi hizo tunaziita culture. Marastafari wakatuambukiza wengine kuzivaa.

Ila kwakua ni utani ngoja nione utakapoishia.
 
Aghalabu - Often

Nadra - Rare.

Hizo shanga bongo tumevaa enzi hizo tunaziita culture. Marastafari wakatuambukiza wengine kuzivaa.

Ila kwakua ni utani ngoja nione utakapoishia.
ulizivaa kiunoni au mguuni?
 
wazee wa shanga.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Swag za kikenya to the world, man. With no apologies!
david_beckam.jpg
kavaa binti wa beckham,hajavaa mwanaume.
 
Uzalendo kwao ni kuunga mkono kila kitu
Kama ni mtazamo wako ni sawa, ila nyang'au hapana tambua. Huo ni utamaduni wa makabila karibia tatu robo nchini Kenya, sio wamaasai tu. Utalia sana, nyanga'u wanazivaa hadi ndani ya ikulu ya mzee wa mikwara! Hutaelewa virahisi kwasababu nchi yako haikupi motisha wa kuwa mzalendo damu.
ojojmzuj7rgnq6sfale5b8462eb25bd1.jpg
 
Haiya... Kadoda11????
Alitoweka nikadhani amenyakuliwa na wasiojulikana ambao hubabaisha Tanzania yote, kumba kabadili ID.
angalia hii account yangu ipo hapa tangu mwaka gani.
 
Danganyikan men are very jealous of Kenyan men. I wonder why
..na ukiona mwanaume ambaye ana wivu na mwanaume mwenzie kuna uwezekano ye' ni shoga.
Cc:Mleta mada (kidonda11 kwa ID nyingine
umechemsha sana kunifanisha na kadida
 
Hao wameletwa kimagendo kwa interests flani ila sio kwa loyalty.
Mkenya hamkaribishi mwenzake mpk aweke appointment ya kuja kwake hyo loyalty mkenya anaitolea wapi??!!!

Halafu mlivyo wambea, wanafiki na wazandiki bora usinikaribishe, maana huwa mna maneno matamu sana mkikaribisha watu kwenu manyumbani, lakini pindi wakitoka mnawasema sema vibaya, yaani mpo ovyoo sana, ila Wazanzibari ndio niliona wapo tofauti, (Pemba na Unguja) wale wanakukaribisha bila kinyongo, ukiondoka wanabaki wakikusifia mazuri, niliwapenda sana, ila nyie wengine mna roho nyeusi sana.
 
kavaa binti wa beckham,hajavaa mwanaume.
Kwahivyo kelele zako hizi ni kwasababu mzungu kasema, au? Wao wenyewe, waume kwa wake si wameiga kwetu? Maanake navowajua nyinyi kwa kuwaiga wazungu hamjambo. Nyinyi ndio huwa mnajiita majina kama James Peter na Jane John na kuita lugha zenu za asili 'vilugha'. Wenzenu bado hatupo tayari kupoteza asili na tamaduni zetu.
 
asilimia kubwa ya wakenya wanaume hupenda kuvaa bangili za shanga mkononi.

nataka kuwafahamisha hawa jamaa kuwa urembo wowote unaotokana na shanga huku kwetu tz tunauhusisha na masuala ya akina wanawake.

ukiondoa wanaume toka jamii ya wamasai, ni agharabu sana kwa mwanaume wa kitanzania kuvaa kitu chochote kilichowekewa urembo wa shanga, na akivaa lazima tutilie shaka uanaume wake.

nasikia huwa mnajitetea eti mnavaa bangili za shanga ili kuonyesha identity na uzalendo kwa nchi yenu. huo ni utetezi wa kijinga. hauwezi kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa kuvaa shanga.

sisi wanaume wa kitanzania hatuvai bangili za shanga. tunapofika nchi za watu ile first impression tu inamwambia mtu kuwa huyu ni mtanzania. kwanza tuna haiba nzuri(hatuna sura za kutisha kama nyinyi), ucheshi, ukarimu na namna tunavyozungumza kiswahili kwa ufasaha.View attachment 1221788View attachment 1221789View attachment 1221790View attachment 1221791View attachment 1221792View attachment 1221793
wanapenda sana kuiga, hizi ni dalili za kugawa tigo
 
Kama ni mtazamo wako ni sawa, ila nyang'au hapana tambua. Huo ni utamaduni wa makabila karibia tatu robo nchini Kenya, sio wamaasai tu. Utalia sana, nyanga'u wanazivaa hadi ndani ya ikulu ya mzee wa mikwara! Hutaelewa virahisi kwasababu nchi yako haikupi motisha wa kuwa mzalendo damu.
ojojmzuj7rgnq6sfale5b8462eb25bd1.jpg
knyata mbona anaonekana mwenye hofu sana hahaha
 
Mada kama hizi ndio mojawapo wa sababu huwa tunawadharau sana wanaume wa Kitanzania japo hatuwachukii, yaani mna tabia za kike karibia nyote, mna macho ya umbea umbea, ukiwa na mwanaume wa Kitanzania, atakukagua kagua kimya kimya kila ulichovaa huku akikenua meno na kuongea kistaarabu, ila hapo anawashwa lini mtaachana aende kukusema kwa wenzake jinsi ulivyokua umevaa, mara kofia, mara suruali, mara mkanda......ilhali muda wote huo hakukutajia chochote.

Ndio maana mkija huku hatuwezi kuwakaribisha manyumbani kwetu, kama ni kikao bora kiishie mjini kila mmoja aende zake, maana ukikaribshwa, watoto watakuamkia kwa furaha, utapokelewa kwa heshima na sote tutakua na furaha, ila ukitoka tu, yaani utatangaza hadi rangi ya kikmbe, paka, kila kitu, mpo ovyoo sana, haya muachie mabinti wenu muanze kuwa na tabia za kiume.
usikute hata marinda hauna
 
Back
Top Bottom