Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Kati ya hao majirani nane nafikiri ni Kenya tu ambayo haijaorodheshwa kwenye kikundi Cha Least Developed Countries na pia ni Kenya peke yake yenye GDP ya zaidi ya $61b. So mna mengi ya kujifunza hata kwenye hio orodha unayosema mpo namba 8 bado Kuna gap kubwa Sana Kati yenu na namba 7 na 6 mtawalia. Those are hard facts no matter the pain you undergo swallowing them and it won't change the hard facts that Kenya is not in your small league like it or not brother.
 
Hivi vijibilioni 20 ni gap la kujitapa hivi? Lol two digits like us, stop that nonsense, you are no one.
 
Acha kuhemka ovyoovyo na kutukana.
Hata mkeo FaizaFoxy anaitambua Kenya as the economic powerhouse EA
 
Hivi vijibilioni 20 ni gap la kujitapa hivi? Lol two digits like us, stop that nonsense, you are no one.
Hivi vijibilioni ndivyo vimewaweka nambari 8 na usisahau kuwa Kenya imewapita kwa zaidi ya vijibilioni 39 na hamtoifikia hata mlilie chooni, hata ujinyonge ufufuke na ujinyonge Tena alafu ufufuke, bado utalipata Nchi yako unayoipenda iko nyuma mwa Kenya kwa hivyo vijibilioni milele na milele Amin.
 
Acha kuhemka ovyoovyo na kutukana.
Hata mkeo FaizaFoxy anaitambua Kenya as the economic powerhouse EA
Mmerogwa ninyi si bure
Tatizo you overrated yourselves too much kumbe wa kawaida tu shithole.
 
Mmerogwa ninyi si bure
Tatizo you overrated yourselves too much kumbe wa kawaida tu shithole.
Aliyeturoga alihakikisha tupo juu hapa Ukanda wa EAC na Afrika nzima, nyie endeleeni kubarikiwa kwa kuorodheshwa LDC.
 
Mmerogwa ninyi si bure
Tatizo you overrated yourselves too much kumbe wa kawaida tu shithole.
OK meza vidonge ulale. Naona maumivu yamezidi. Your country ain't even influential & famous lyk Kenya. The only thing u r known for is witchcraft and

lake Tanganyika
 
OK meza vidonge ulale. Naona maumivu yamezidi. Your country ain't even influential & famous lyk Kenya. The only thing u r known for is witchcraft and

lake Tanganyika
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila hamkauki kwenye mambo yetu kama music, series kuna kitu inaitwa Maisha Magic Bongo naona imewateka ufahamu Kenya yote.
 
Hiyo kingereza wanayoiabudu imeshindwa kuwaondoa kwenye umasikini uliokithiri, njaa kila mwaka, corruption iliyokithiri bila kusahau ukabila 😬😬😬
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila hamkauki kwenye mambo yetu kama music, series kuna kitu inaitwa Maisha Magic Bongo naona imewateka ufahamu Kenya yote.
Utasikia "wapi likes za wakenya" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe REDEEMER hakuna mkenya anatazama hiyo magic bongo yenu. There's Maisha Magic East which existed long before that garbage was born na ndiyo wakenya wanapenda
 
Wewe REDEEMER hakuna mkenya anatazama hiyo magic bongo yenu. There's Maisha Magic East which existed long before that garbage was born na ndiyo wakenya wanapenda
Wale wanaojaza comments sio ninyi? Tanzania kwenye suala la entertainment haina mpinzani ukanda huu wote, nashangaa watu kama liquid, hamorappa huko Kenya ni celebrities wa kutisha mnawalipa mkwanja mrefu kuliko wasanii wenu wa kubwa in which I don't know any of them πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utasikia "wapi likes za wakenya" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nilicheka siku nimemuona hamorappa akiwahenyesha wakenya kufanya 'tour' huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo ndio nikajua kweli Kenya ni failed state
 
Na hawako Romatic wakiongea na mwanamke Kama ugoviii Yani siwapendiiii kabisa iseeeeee [emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nilicheka siku nimemuona hamorappa akiwahenyesha wakenya kufanya 'tour' huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo ndio nikajua kweli Kenya ni failed state
Hadi yule liquid walimuomba akafanye appearance kwenye club zao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijwahi kuona nyimbo wala movie za wakenya zikiingia trending kwenye platform Zozote huku bongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lakini angalia platform zao utakuta nyimbo za bongo zikitrend hadi namba moja,
Wasanii wao hawajui kujituma wakitoa tu nyimbo wanatulia wakati wasanii wetu wanachakarika kufanya media tour sehemu mbalimbali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…