Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Mtazamo wangu kuhusu tabia ya wanaume wa Kenya kupenda kuvaa bangili za shanga

Halafu mlivyo wambea, wanafiki na wazandiki bora usinikaribishe, maana huwa mna maneno matamu sana mkikaribisha watu kwenu manyumbani, lakini pindi wakitoka mnawasema sema vibaya, yaani mpo ovyoo sana, ila Wazanzibari ndio niliona wapo tofauti, (Pemba na Unguja) wale wanakukaribisha bila kinyongo, ukiondoka wanabaki wakikusifia mazuri, niliwapenda sana, ila nyie wengine mna roho nyeusi sana.
Unaongea kwa utashi wako.
Wakenya mna miroho mibaya yani wakenya wenyewe kwa wenyewe hamkaribishani pas na appointment je hiyo loyalty mtaitoa wapi ???
Tanzania hakuna hiyo tabia tuna wakenya na warundi wapo huku Kigamboni tunaishi nao poa na wanasifia ukarim wetu fresh tu.
 
Liquid na hamornize. Najua harmonize liquid simjui. Harmonize is the broke guy who couldn't pay his hotel bill huko eldoret. Ilibidi wakenya wamchangie
redeemer
 
Sijwahi kuona nyimbo wala movie za wakenya zikiingia trending kwenye platform Zozote huku bongo 😂😂😂
Lakini angalia platform zao utakuta nyimbo za bongo zikitrend hadi namba moja,
Wasanii wao hawajui kujituma wakitoa tu nyimbo wanatulia wakati wasanii wetu wanachakarika kufanya media tour sehemu mbalimbali 😂😂😂
Dah,! Tatizo hawana identity yao wenyewe sababu ya copy and paste kwa wazungu ambapo hawatoweza kuwapita halafu wana manyimbo yao ya kilugha ya hovyo 😂😂😂 kila kabila na songi lake la ajabu ajabu
 
Dah,! Tatizo hawana identity yao wenyewe sababu ya copy and paste kwa wazungu ambapo hawatoweza kuwapita halafu wana manyimbo yao ya kilugha ya hovyo 😂😂😂 kila kabila na songi lake la ajabu ajabu
Siku hizi Wameanza kukopi nyimbo za bongo fleva hadi kuandikiwa nyimbo pia waandikiwa huku bongo 😂😂😂
 
Siku hizi Wameanza kukopi nyimbo za bongo fleva hadi kuandikiwa nyimbo pia waandikiwa huku bongo 😂😂😂
😂😂😂 Lafudhi sasa ndio mgogoro, sababu unaweza kua na mashairi mazuri lakini unaimba kama ng'ombe 😂😂😂
 
😂😂😂 Lafudhi sasa ndio mgogoro, sababu unaweza kua na mashairi mazuri lakini unaimba kama ng'ombe 😂😂😂
😂😂😂
Nimeangalia trending videos za bongo sijaona za wakenya ila trending videos za wakenya kuna videos kama nane za bongo ziko trending 😂😂😂
 
😂😂😂
Nimeangalia trending videos za bongo sijaona za wakenya ila trending videos za wakenya kuna videos kama nane za bongo ziko trending 😂😂😂
😂😂😂😂😂 Dah! Halafu huyu Jane anasema Tanzania sio influential? Acha watanzania YouTubers wale AdSense na wanazila kweli
 
😂😂😂😂😂 Dah! Halafu huyu Jane anasema Tanzania sio influential? Acha watanzania YouTubers wale AdSense na wanazila kweli
Hapo ndio utagundua ni kina nani wanashoboka shoboka 😂😂😂 sisi wala hatuna habari nao.
 
wabongo saa zingine tunakuwaga makenge kweli kweli,,wewe inakuhusu nini mtu kuendeleza tamaduni za kwao??...ulitaka wote muende sawa kwani nyie wote ni wasukuma?achana na habari za wakenya bana,,,kwanza wametuzidi maarifa utake usitake,,sisi ni waswahili wa maneno mengi bila vitendo,kwa akili tumezidiwa bana,,ndo maana waajiri wengi wa nje wanapenda kuajiri mkenya kuliko mtanzania,..
 
wabongo saa zingine tunakuwaga makenge kweli kweli,,wewe inakuhusu nini mtu kuendeleza tamaduni za kwao??...ulitaka wote muende sawa kwani nyie wote ni wasukuma?achana na habari za wakenya bana,,,kwanza wametuzidi maarifa utake usitake,,sisi ni waswahili wa maneno mengi bila vitendo,kwa akili tumezidiwa bana,,ndo maana waajiri wengi wa nje wanapenda kuajiri mkenya kuliko mtanzania,..
Utaambiwa wewe sio mzalendo. Subiri.
 
REDEEMER
go google 10 famous & influential A.countries. Ukipata nchi yako hapo uniitishe chochote
 
asilimia kubwa ya wakenya wanaume hupenda kuvaa bangili za shanga mkononi.

nataka kuwafahamisha hawa jamaa kuwa urembo wowote unaotokana na shanga huku kwetu tz tunauhusisha na masuala ya wanawake.

ukiondoa wanaume toka jamii ya wamasai, ni agharabu sana kwa mwanaume wa kitanzania kuvaa kitu chochote kilichowekewa urembo wa shanga, na akivaa lazima tutilie shaka uanaume wake.

nasikia huwa mnajitetea eti mnavaa bangili za shanga ili kuonyesha identity na uzalendo kwa nchi yenu. huo ni utetezi wa kijinga. hauwezi kuonyesha uzalendo kwa nchi yako kwa kuvaa shanga.

sisi wanaume wa kitanzania hatuvai bangili za shanga. tunapofika nchi za watu ile first impression tu inamwambia mtu kuwa huyu ni mtanzania. kwanza tuna haiba nzuri(hatuna sura za kutisha kama nyinyi), ucheshi, ukarimu na namna tunavyozungumza kiswahili kwa ufasaha.View attachment 1221788View attachment 1221789View attachment 1221790View attachment 1221791View attachment 1221792View attachment 1221793
Tanzanian_Bracelet.JPG
Huyu naye vipi? Una ushamba lakini ujue! 😂
 
Utaambiwa wewe sio mzalendo. Subiri.
km kweli uzalendo ni kusema ukweli basi wacha tu niitwe sio mzalendo lakini ndio tulivyo wengi wetu,,ila sio wote,,ni waswahili wa maneno mengi bila vitendo
 
wabongo saa zingine tunakuwaga makenge kweli kweli,,wewe inakuhusu nini mtu kuendeleza tamaduni za kwao??...ulitaka wote muende sawa kwani nyie wote ni wasukuma?achana na habari za wakenya bana,,,kwanza wametuzidi maarifa utake usitake,,sisi ni waswahili wa maneno mengi bila vitendo,kwa akili tumezidiwa bana,,ndo maana waajiri wengi wa nje wanapenda kuajiri mkenya kuliko mtanzania,..
View attachment 1223711Huyu naye vipi? Una ushamba lakini ujue! [emoji23]
km kweli uzalendo ni kusema ukweli basi wacha tu niitwe sio mzalendo lakini ndio tulivyo wengi wetu,,ila sio wote,,ni waswahili wa maneno mengi bila vitendo
kwa lugha kiungwana tunasema "asante kwa maoni yenu".
 
Back
Top Bottom