Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Nikiwa kama msomi mpaka sasa naamini mambo yafuatayo kuhusu lile tangazo;
1. Katibu mkuu alitumika kujibu presha ya social network bila scientific evaluation ya reality ofisini kwake.
2. Lile halikuwa tamko rasmi ndiyo sababu lilimezwa na taarifa za chakula mashuleni.
3. Alijua wazi kuwa anawadanganya watanzania.
4. Haukuwa na mawasiliano na hazina kuhusu fedha za kuajiri walimu wapya.
5. Hasingewezi kutoa tamko lingine zaidi ya kusema ajira zipo, hii ni kwasabu ya panya road na wahanga wa JKT na athari za kisiasa.
ATHARI ZA KUTOTIMIZWA KWA TAMKO LA AJIRA
1. Matamko ya Sagini yataanza kupuuzwa hivyo asitumike tena kutoa press release.
2. Vijana wahanga wa kiume watazidisha kunywa pombe na kula ugoro kuondoa stress.
3. Walimu wapya wataanza ajira wakiwa tayari hawana imani na amani kwa serikali ya CCM
4. Wapo watakaokufa ama kwa kujinyonga au kupata ajari baada ya stress.
5. Kuvunjika kwa amani katika ndoa na mahusiano kwa walimu tarajali wanaposhinda net bila ku-socialize na wenzi wao.
6. Madeni kuongezeka kwa wale waliokopa fedha za riba wakitegeme posho za Kuripoti ili watume mpesa kulipa.
KIBAYA ZAIDI NI HIKI
TAMISEMI hawaoni aibu hata kutoona umuhimu wa kuita tena press conference tena ili kutoa tamko ku-update tamko la kukurupuka walilolitoa awali. Wamekaa kimya wakiona ni upuuzi mtupu wakiacha vijana na familia zao gizani.
UNAFIKI WA SIASA ZA UPINZANI NA UDHAIFU WA WAZIRI KIVULI WA ELIMU
Hawa nao wamekaa kimya ilhari watanzania wenzao wapo katika jangwa. Wanajifanya wazalendo huku wakipuuza udhaifu ulio dhairi.
Hakuna cha nani wala nani, wapinzani wote wasakatonge.
Sioni msaada wenu kwa vijana.
NITARUDI TENA, NISUBIRINI
1. Katibu mkuu alitumika kujibu presha ya social network bila scientific evaluation ya reality ofisini kwake.
2. Lile halikuwa tamko rasmi ndiyo sababu lilimezwa na taarifa za chakula mashuleni.
3. Alijua wazi kuwa anawadanganya watanzania.
4. Haukuwa na mawasiliano na hazina kuhusu fedha za kuajiri walimu wapya.
5. Hasingewezi kutoa tamko lingine zaidi ya kusema ajira zipo, hii ni kwasabu ya panya road na wahanga wa JKT na athari za kisiasa.
ATHARI ZA KUTOTIMIZWA KWA TAMKO LA AJIRA
1. Matamko ya Sagini yataanza kupuuzwa hivyo asitumike tena kutoa press release.
2. Vijana wahanga wa kiume watazidisha kunywa pombe na kula ugoro kuondoa stress.
3. Walimu wapya wataanza ajira wakiwa tayari hawana imani na amani kwa serikali ya CCM
4. Wapo watakaokufa ama kwa kujinyonga au kupata ajari baada ya stress.
5. Kuvunjika kwa amani katika ndoa na mahusiano kwa walimu tarajali wanaposhinda net bila ku-socialize na wenzi wao.
6. Madeni kuongezeka kwa wale waliokopa fedha za riba wakitegeme posho za Kuripoti ili watume mpesa kulipa.
KIBAYA ZAIDI NI HIKI
TAMISEMI hawaoni aibu hata kutoona umuhimu wa kuita tena press conference tena ili kutoa tamko ku-update tamko la kukurupuka walilolitoa awali. Wamekaa kimya wakiona ni upuuzi mtupu wakiacha vijana na familia zao gizani.
UNAFIKI WA SIASA ZA UPINZANI NA UDHAIFU WA WAZIRI KIVULI WA ELIMU
Hawa nao wamekaa kimya ilhari watanzania wenzao wapo katika jangwa. Wanajifanya wazalendo huku wakipuuza udhaifu ulio dhairi.
Hakuna cha nani wala nani, wapinzani wote wasakatonge.
Sioni msaada wenu kwa vijana.
NITARUDI TENA, NISUBIRINI