Mtazamo wangu kuhusu Watanzania na Demokrasia

Mtazamo wangu kuhusu Watanzania na Demokrasia

G.Man

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
1,040
Reaction score
2,157
Miongoni mwa sera bora kabisa kuwahi kusimamiwa na mgombea wa uongozi hapa nchini ilikuwa ELIMU ELIMU ELIMU.

Binafsi nimeona mambo yafuatayo kuelekea kumjua Mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka mitano ijayo.

1. Watanzania hasa vyama vya upinzani ambao wana hubiri demokrasia mdomoni: ni watu wasioitaka kabisa mioyoni na hawaamini kabisa katika mitazamo tofauti na waliyo nayo wao. Sasa sijui demokrasia ipi wanahitaji

2. Watanzania wengi hawajui na hawaamini thamani yao kabisa, wanahisi kuna watu maalum wanaofaa kuwabebea matatizo yao. Mbaya zaidi wana nguvu ya kulalamika kabisa matatizo yao yakiendelea.

3. Kuna Biasness kubwa sana kulikoni kufuata uhalisia, Wafuasi wa mtu mmoja hawazingatii facts za wazi kabisa za mtu wa pili, kisa zimetolewa na asie wa upande wao. Mpaka unashindwa kwamba watu wanaganya reasoning namna gani!

Nasikitika siasa zetu zina mfumo wa Simba na Yanga
 
Issue ya watanzania na Democracy nadhan ni Nyerere ideology juu ya uimara wa mtu badala ya taasisi Per se..

Fikiria Nyerere kulazimisha watu kuingia kwenye MPD back then in 1992 huko..

Naangalia hata baadhi ya Diaspora wana attitude hiyo hiyo juu ya watu wenye mtazamo tofauti..

Vipo Vyama vya siasa vinaona Democracy ni kuua chama.. na kinachoendelea CDM ni kuua kabisa upinzani.

Wana hofu na unyerere mwingi..

Anyways, CDM imeset proper democracy kwa nchi yetu kwa vizazi vijavyo
 
Issue ya watanzania na Democracy nadhan ni Nyerere ideology juu ya uimara wa mtu badala ya taasisi Per se..

Fikiria Nyerere kulazimisha watu kuingia kwenye MPD back then in 1992 huko..

Naangalia hata baadhi ya Diaspora wana attitude hiyo hiyo juu ya watu wenye mtazamo tofauti..

Vipo Vyama vya siasa vinaona Democracy ni kuua chama.. na kinachoendelea CDM ni kuua kabisa upinzani.

Wana hofu na unyerere mwingi..

Anyways, CDM imeset proper democracy kwa nchi yetu kwa vizazi vijavyo
Kuna namna tunaihitaji ukombozi wa fikra kwanza.
CDM wamejitahidi kweli so far. Ngoja tuone palipobaki
 
Back
Top Bottom