Emmanuel Mkwama
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 166
- 124
Habari waungwana Wana jamii forum wenzangu.
Inshu ya vita mashariki ya kati imekaa kimkakati sana. Ukweli ni kwamba mhusika mkuu Bado hataki kujulikana ambaye ni mmarekani, lengo limekwisha julikana. Ambalo kumpiga muiran, lakini Kuna mtu anasubiliwa ambaye mrassia, yeye akithubutu kumsaidi Irani atapigwa kupitia Ukraine na Irani itaendelea kupigwa kwa mgongo wa NATO kwa nia ya kumlinda mwanachama wao ambae ni islael.
Ukraine apapewa full supporting kutoka NATO Ili kuendeleza mashambulizi mazito ndani ya Russia ikibidi atapewa special navy wa kuongeza nguvu zaidi.
Duh..... Hii Ngoma imekaa kimkakati zaidi.... Hahahah Bado Kuna Mzee kiduku anasubiliwa.
Inshu ya vita mashariki ya kati imekaa kimkakati sana. Ukweli ni kwamba mhusika mkuu Bado hataki kujulikana ambaye ni mmarekani, lengo limekwisha julikana. Ambalo kumpiga muiran, lakini Kuna mtu anasubiliwa ambaye mrassia, yeye akithubutu kumsaidi Irani atapigwa kupitia Ukraine na Irani itaendelea kupigwa kwa mgongo wa NATO kwa nia ya kumlinda mwanachama wao ambae ni islael.
Ukraine apapewa full supporting kutoka NATO Ili kuendeleza mashambulizi mazito ndani ya Russia ikibidi atapewa special navy wa kuongeza nguvu zaidi.
Duh..... Hii Ngoma imekaa kimkakati zaidi.... Hahahah Bado Kuna Mzee kiduku anasubiliwa.