Mtazamo wangu kwa wana JF kwenye ushiriki wa mijadala ya kitaifa

Mtazamo wangu kwa wana JF kwenye ushiriki wa mijadala ya kitaifa

Wildchild

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2018
Posts
19,411
Reaction score
21,938
Habari wanajukwaa, ni muda kidogo nimeshuhudia mabadiliko katika namna ya uchangiaji wa hoja, hasa zaidi zile zinazogusa maisha ya kila siku ya Mtanzania, hili linanipa hofu, kuwa huenda zile sheria za mwendo kasi, zimeshika nafasi kiasi cha hata jukwaa lililojipambanua kwa weledi linaangaliwa na zile sheria za mwendo kasi kikamilifu, kiasi cha kuanza kuathiri hata wachangiaji pendwa na walijiona wako salamaa chini ya ulinzi wa taarifa na ulinzi wa wanajukwaa.

Ni mawazo na mitazamo tu, ninaweza nisiwe sahihi.
 
Habari wanajukwaa, ni muda kidogo nimeshuhudia mabadiliko katika namna ya uchangiaji wa hoja, hasa zaidi zile zinazogusa maisha ya kila siku ya Mtanzania, hili linanipa hofu, kuwa huenda zile sheria za mwendo kasi, zimeshika nafasi kiasi cha hata jukwaa lililojipambanua kwa weledi linaangaliwa na zile sheria za mwendo kasi kikamilifu, kiasi cha kuanza kuathiri hata wachangiaji pendwa na walijiona wako salamaa chini ya ulinzi wa taarifa na ulinzi wa wanajukwaa.

Ni mawazo na mitazamo tu, ninaweza nisiwe sahihi.
Tolea mfano wa thread yoyote iwe hewa
 
Back
Top Bottom