Katika mambo ambayo ni Magumu kutekelezeka ni haya uliyo ya ainisha hapa Mkuu ,nnaikumbuka kauli aliyowahi kuitoa hadharani na kusema nna mnukuu"atakae jaribu kuuvunja Muungano atavunjika yeye".
Ukijumlisha na Mfumo mzima wa Muundo wa Serikali inayo tokana na Chama Tawala ,Mfumo unao weza kuingiliwa/kutumika na wenye Chama kwa maslahi yao hakika ni ngumu hasa.
Mfano mzuri ni ktk Uchaguzi Mkuu huu wa 2020 na yaliyo tokea ,wenye kutakiwa kusimamia Sheria waliacha jukumu lao na kuungana na Chama dola kuhakikisha Matakwa ya Chama dola yana timizwa kwa gharama yoyote ile.
Poleni sana wapenda Demokrasia ,poleni Wapinzani kwa Vifo/ vilema / Kesi za kubambikiwa na madhila ya kial namna.
R.I.P... Demokrasia ya kweli.