Mtazamo wangu, mabadiliko yanayohitajika...

Ni kweli ulivyosema. Ila nachojiuliza kila siku ni kwanini muungano unalindwa kwa gharama ya watu kufa ili hali wananchi wa pande zote hawautaki ubaki ulivyo? Ila kwa maoni yangu nadhani ni sula la muda tu muungano utafutwa na kuanzishwa aina mpya ya ushirikiano. Japo inaweza kuwa ni baada ya muda mrefu lakini mimi sioni viongozi wa CCM wakiweza kuulinda tena kwa muda mrefu sana. Hata CCM inakaribia siku zake za mwisho. Kila nikiangalia kilichotokea kwenye uchaguzi huu uliopita ni wazi kuwa CCM haipendwi tena. Mpaka shemu za vijijini watu wameshaichoka. Kikwazo kiko kwenye dola kuilinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…