Mtazamo wangu mechi ya Liverpool vs Arsenal

Mtazamo wangu mechi ya Liverpool vs Arsenal

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
MTAZAMO WANGU NA MAONI KUHUSU MECHI YETU IJAYO[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

JUMAMOSI HII SAA MOJA NA NUSU USIKU VIJANA WETU WATAKUWA PALE ANFIELD KATIKA HARAKATI ZA KUSAKA POINT TATU MUHIMU DHIDI YA MOJA KATI YA KLABU BORA ZAIDI YA SOKA DUNIANI KWA SASA[emoji460][emoji460][emoji460]NDIO NI KLABU BORA HILO HALINA UBISHI[emoji460][emoji460]NAAMINI NDIO TIMU AMBAYO STRIKER WAKE WAMEFUNGA MAGOLI MENGI ZAIDI LAST SEASON KULIKO WOTE EPL""""NDIO KLABU BINGWA ULAYA PIA PALE ANFIELD SIO UWANJA SALAMA KABISA KWA WAPINZANI[emoji460]WOTE TUNAKUMBUKA MESSI NA BARCELONA YAKE WALIINGIA PALE WAKALA 4 KWA SINIA

[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]LAKINI HAYO YOTE HAYATUZUII SISI THE GUNNERS KWENDA KUCHUKUA POINT TATU MUHIMU PALEPALE ANFIELD ENDAPO TU TUTAENDA PALE NA MIPANGO MADHUBUTI YA KUTIMIZA LENGO LETU HILO KWA KUWA HATA IKITOKEA TUTAWAFUNGA HIYO HAITOKUWA MARA YA KWANZA[emoji460][emoji460]

NAJUA BAADHI YETU MTAKUMBUKA MAY 8 2005 TULIMPASUA LIVERPOOL 3-1 MKUMBUKE HII NI ILE LIVERPOOL ILIYOKWENDA KUMPIGA AC MILAN PALE UTURUKI NA KUCHUKUA UEFA[emoji460][emoji460][emoji460]WAO NA SISI MPAKA SASA NDIO TIMU PEKEE AMBAZO ZIMESHINDA 100%YA MECHI ZAKE PALE EPL[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

NAJUA WENGI WANAIPA NAFASI KUBWA LIVERPOOL YA KUIBUKA LAKINI KAMA YAKIFANYIKA HAYA HAPA TUNAWEZA KUWAFUNGA WALE[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

(1)KUANZISHA WINGA WAWILI WENYE KASI

(2)VIUNGO WAWILI WAKABAJI
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]
WINGA WAWILI WENYE KASI HAPO NAMAANISHA PEPE NA AUBA SIKU HIYO WAANZIE KWENYE FRANKS[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]HII MAANA YAKE TUTAPUNGUZA KASI YA WALE MABEKI WAO WAWILI WA PEMBENI ALEXANDER ANOLD NA ROBERTSON[emoji460][emoji460]WENGI TUNAAMINI KWAMBA LIVERPOOL WANAWATEGEMEA SANA WALE WATU WAO WATATU WA MBELE MANE FIRMINHO NA SALAH KATIKA KUSAKA MATOKEO LAKINI UKIANGALIA KIUFUNDI HAWA MABEKI WAO NDIO CHANZO CHAO CHA MAGOLI YAO KARIBIA YOTE NA NDIO MAANA YULE ANOLD ANAJIKUTA NA ASSIST NYINGI SANA ZA MAGOLI KUSHINDA BAADHI YA VIUNGO[emoji460][emoji460]HIVYO KUWAWEKEA PEPE NA AUBA KULE PEMBENI KWA KIASI KIKUBWA ITAWAJENGEA HOFU YA KUPANDA MARA KWA MARA NA HIVYO KUPUNGUZA PRESHA GOLINI KWETU[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

(3)KUANZA NA VIUNGO WAWILI WAKABAJI HII MAANA YAKE ITATUPELEKEA TUANZE NA STRIKER MMOJA ILA KWA KUWA TUTAKUWA NA MAWINGA WENYE KASI HAIWEZI KULETA SHIDA[emoji460][emoji460]

IFAHAMIKE KWAMBA CHANZO KINGINE CHA MAGOLI YA LIVERPOOL UKITOA MABEKI WAO WA PEMBENI WANATEGEMEA PIA BREAK THROUGH YAANI WANAKUNYANGANYA MPIRA KISHA WANAANZA KUKUSHAMBULIA KWA KASI HAPO UKUTE NYIE NDIO MLIKUWA MNASHAMBULIA HIVYO BAADHI YA WATU WANAKUWA HAWAPO HUKU NYUMA WAMESHAENDA MBELE HIVYO WAKIKUPATA HAPA LIVERPOOL NI LAZIMA WAKUNYOOSHE UKIZINGATIA WALE CENTRAL DEFENDERS WETU HAKUNA MWENYE KASI KUZIDI WALE MABWANA WATATU"""""HIVYO VIUNGO WAWILI WA KUKABA INAKUWA NI RAHISI KUKABILIANA NA HIZI BREAK THROUGH ZAO[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

NAAMINI TIMU IKIANZA HIVI TUTAWAPA SHIDA SANA WALE MABWANA

LENO
NILES
MONREAL
SOKRATIS
LUIZ
TOREIRA
PEPE
XHAKA
CEBALLOS
LACAZZETE
AUBAMEYANG
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

IKIWA LINE UP TOFAUTI NA HIYO BASI TUMUACHIE UNAI TU MAANA NDIO MUAMUZI WA MWISHO

Come on Gunners
IMG_20190820_190536.jpeg
 
Msitudharau sana Gunner's mkadhani mtashinda kirahisi.

Ila kwa wale wazee was mikeka ni mechi ya magoli mengi
 
Gooners hatushikiki msimu huu

Come on you Gunners.
 
Aliekuambia uandike kwa maherufi makubwa nani?? Ndio sababu ya kupigwa
 
MTAZAMO WANGU NA MAONI KUHUSU MECHI YETU IJAYO[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

JUMAMOSI HII SAA MOJA NA NUSU USIKU VIJANA WETU WATAKUWA PALE ANFIELD KATIKA HARAKATI ZA KUSAKA POINT TATU MUHIMU DHIDI YA MOJA KATI YA KLABU BORA ZAIDI YA SOKA DUNIANI KWA SASA[emoji460][emoji460][emoji460]NDIO NI KLABU BORA HILO HALINA UBISHI[emoji460][emoji460]NAAMINI NDIO TIMU AMBAYO STRIKER WAKE WAMEFUNGA MAGOLI MENGI ZAIDI LAST SEASON KULIKO WOTE EPL""""NDIO KLABU BINGWA ULAYA PIA PALE ANFIELD SIO UWANJA SALAMA KABISA KWA WAPINZANI[emoji460]WOTE TUNAKUMBUKA MESSI NA BARCELONA YAKE WALIINGIA PALE WAKALA 4 KWA SINIA

[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]LAKINI HAYO YOTE HAYATUZUII SISI THE GUNNERS KWENDA KUCHUKUA POINT TATU MUHIMU PALEPALE ANFIELD ENDAPO TU TUTAENDA PALE NA MIPANGO MADHUBUTI YA KUTIMIZA LENGO LETU HILO KWA KUWA HATA IKITOKEA TUTAWAFUNGA HIYO HAITOKUWA MARA YA KWANZA[emoji460][emoji460]

NAJUA BAADHI YETU MTAKUMBUKA MAY 8 2005 TULIMPASUA LIVERPOOL 3-1 MKUMBUKE HII NI ILE LIVERPOOL ILIYOKWENDA KUMPIGA AC MILAN PALE UTURUKI NA KUCHUKUA UEFA[emoji460][emoji460][emoji460]WAO NA SISI MPAKA SASA NDIO TIMU PEKEE AMBAZO ZIMESHINDA 100%YA MECHI ZAKE PALE EPL[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

NAJUA WENGI WANAIPA NAFASI KUBWA LIVERPOOL YA KUIBUKA LAKINI KAMA YAKIFANYIKA HAYA HAPA TUNAWEZA KUWAFUNGA WALE[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

(1)KUANZISHA WINGA WAWILI WENYE KASI

(2)VIUNGO WAWILI WAKABAJI
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]
WINGA WAWILI WENYE KASI HAPO NAMAANISHA PEPE NA AUBA SIKU HIYO WAANZIE KWENYE FRANKS[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]HII MAANA YAKE TUTAPUNGUZA KASI YA WALE MABEKI WAO WAWILI WA PEMBENI ALEXANDER ANOLD NA ROBERTSON[emoji460][emoji460]WENGI TUNAAMINI KWAMBA LIVERPOOL WANAWATEGEMEA SANA WALE WATU WAO WATATU WA MBELE MANE FIRMINHO NA SALAH KATIKA KUSAKA MATOKEO LAKINI UKIANGALIA KIUFUNDI HAWA MABEKI WAO NDIO CHANZO CHAO CHA MAGOLI YAO KARIBIA YOTE NA NDIO MAANA YULE ANOLD ANAJIKUTA NA ASSIST NYINGI SANA ZA MAGOLI KUSHINDA BAADHI YA VIUNGO[emoji460][emoji460]HIVYO KUWAWEKEA PEPE NA AUBA KULE PEMBENI KWA KIASI KIKUBWA ITAWAJENGEA HOFU YA KUPANDA MARA KWA MARA NA HIVYO KUPUNGUZA PRESHA GOLINI KWETU[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

(3)KUANZA NA VIUNGO WAWILI WAKABAJI HII MAANA YAKE ITATUPELEKEA TUANZE NA STRIKER MMOJA ILA KWA KUWA TUTAKUWA NA MAWINGA WENYE KASI HAIWEZI KULETA SHIDA[emoji460][emoji460]

IFAHAMIKE KWAMBA CHANZO KINGINE CHA MAGOLI YA LIVERPOOL UKITOA MABEKI WAO WA PEMBENI WANATEGEMEA PIA BREAK THROUGH YAANI WANAKUNYANGANYA MPIRA KISHA WANAANZA KUKUSHAMBULIA KWA KASI HAPO UKUTE NYIE NDIO MLIKUWA MNASHAMBULIA HIVYO BAADHI YA WATU WANAKUWA HAWAPO HUKU NYUMA WAMESHAENDA MBELE HIVYO WAKIKUPATA HAPA LIVERPOOL NI LAZIMA WAKUNYOOSHE UKIZINGATIA WALE CENTRAL DEFENDERS WETU HAKUNA MWENYE KASI KUZIDI WALE MABWANA WATATU"""""HIVYO VIUNGO WAWILI WA KUKABA INAKUWA NI RAHISI KUKABILIANA NA HIZI BREAK THROUGH ZAO[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

NAAMINI TIMU IKIANZA HIVI TUTAWAPA SHIDA SANA WALE MABWANA

LENO
NILES
MONREAL
SOKRATIS
LUIZ
TOREIRA
PEPE
XHAKA
CEBALLOS
LACAZZETE
AUBAMEYANG
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]

IKIWA LINE UP TOFAUTI NA HIYO BASI TUMUACHIE UNAI TU MAANA NDIO MUAMUZI WA MWISHO

Come on GunnersView attachment 1187763
Game imeisha 3 kwa 1 ukweli mpira ulikuwa mzuri japo makosa ya game kayafanya kocha kumwacha lacazette nje na kumtumia Abu kama mmaliziaji asijue kuwa kakosea.

Yote kwa yote kikosi cha sasa ni bora kuliko kilichopita.


We are the gunners forever.
 
Back
Top Bottom