Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
Uchaguzi mkuu umekwisha. Huu ni wakati wa kupiga tathmini. Nitaleta tathmini yenye vipengele vifuatavyo:
1. Mchakato wa kuandaa Ilani ya uchaguzi
2. Mchakato wa kujenga Mtandao wa kampeni za uchaguzi
3. Kusimamia kura za Maoni
4. Historia ya kufuata Katiba ya Chama
5. Utaratibu wa kufanya Kampeni
6. Mchakato wa kuandaa Mawakala
7. Mchakato wa Kuapisha Mawakala
8. Bajeti ya kuwezesha Mawakala
9. Mchakato wa kupiga na kupigiwa Kura
10. Mchakato wa Kutangaza Matokeo
11. Mchakato wa Kutafuta Wawakikishi wa Viti Maalum
12. Mchakato wa Kuapisha waliotangazwa washindi
13. Jukumu la chama cha siasa kupeleka wabunge wa viti maalum Bungeni.
Nipeni nondo kwa ajili ya postmortem hii
1. Mchakato wa kuandaa Ilani ya uchaguzi
2. Mchakato wa kujenga Mtandao wa kampeni za uchaguzi
3. Kusimamia kura za Maoni
4. Historia ya kufuata Katiba ya Chama
5. Utaratibu wa kufanya Kampeni
6. Mchakato wa kuandaa Mawakala
7. Mchakato wa Kuapisha Mawakala
8. Bajeti ya kuwezesha Mawakala
9. Mchakato wa kupiga na kupigiwa Kura
10. Mchakato wa Kutangaza Matokeo
11. Mchakato wa Kutafuta Wawakikishi wa Viti Maalum
12. Mchakato wa Kuapisha waliotangazwa washindi
13. Jukumu la chama cha siasa kupeleka wabunge wa viti maalum Bungeni.
Nipeni nondo kwa ajili ya postmortem hii