marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Nisikuchoshe,
Nimeona waziwazi maisha yalivyo mambo ni kama ya mwendazake, pamoja na muendelezo wa alipoishia hayati, bado hujapindua changamoto, kuna kufeli maeneo mengi.
Zaidi na zaidi unatumikia bahati njema alizoziacha jamaa yule.
Mbaya zaidi wahuni na wajanja wamekurubuni. Wanakula. Ambapo anayetaabika ni mtumishi wa umma na wanao wananchi maskini.
Nimeona waziwazi maisha yalivyo mambo ni kama ya mwendazake, pamoja na muendelezo wa alipoishia hayati, bado hujapindua changamoto, kuna kufeli maeneo mengi.
Zaidi na zaidi unatumikia bahati njema alizoziacha jamaa yule.
Mbaya zaidi wahuni na wajanja wamekurubuni. Wanakula. Ambapo anayetaabika ni mtumishi wa umma na wanao wananchi maskini.