Ha ha ha ......Hapana aisee! Tutaambia nini watani? Kila aina ya matusi tulimtukana huyu kocha, mpaka mengine ambayo utopolo walikuwa hawayajui tukayafukunyua!
Sasa tukimchukua si tutakuwa tumejigeuzia mtutu wa bunduki?
Kama Haji Manara,sijui ataweka wapi uso wake!Ha ha ha ......
kawaida tu unadhani utopolo leo wakimpta Hajj manara hawatampamba?shughuli itakuwa kwa yanga kumtukana maana aliwabeba sana na bado anawadai helaTatizo tutaweka wapi sura zetu?Maana tulimtukana sana huyu kocha Kipindi anaifundisha Yanga mpaka kumbandika jina Komando kipensi!
Mmmh,inakuja inakataaa!kawaida tu unadhani utopolo leo wakimpta Hajj manara hawatampamba?shughuli itakuwa kwa yanga kumtukana maana aliwabeba sana na bado anawadai hela
inasemekana raja casablanca wanamtaka lakini pia inawezekana alikuwa anajua haaminiki hivyo kawaonyeshea kwamba kaingiza team group stage halafu kaamua kusepa sababu official ni matatizo ya kifamilia,atakuw akapata team inayolipa zaidi au team ya taifa
Usijali,hili jukwaa mods huwa hawalijali kabisa!Unaweza kuanzisha uzi hata mara nne hamna noma kabisa!LOL NIMETOKA KUANZISHA UZI KAMA HUU MDA SI MREFU Moderators Active naomba uunganishe uzi wangu na huu hapa
Ila inawezekana kweli, his profile is better nowinasemekana raja casablanca wanamtaka lakini pia inawezekana alikuwa anajua haaminiki hivyo kawaonyeshea kwamba kaingiza team group stage halafu kaamua kusepa sababu official ni matatizo ya kifamilia,atakuw akapata team inayolipa zaidi au team ya taifa
na ndicho kilichomleta simba hicho,before that profile yake ilikuwa kuwa kocha msaidizi cameroon na kocha wa zambia alipofukuzwa kazi,simba ndiyo klabu yake ya kwanza na iliyompa jinaIla inawezekana kweli, his profile is better now
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Mkuu binafsi nakuunga mkono .....kumleta mzungu saivi mpaka wachezaji wakazoee mifumo Yao hiyo ni issue Sana ......Ukweli ni kwamba group stages ni mwezi ujao tu,akiletwa mzungu hapa itakuwa balaa sana mda wa kuanza kuisoma team tutalaumiana ,zahera anaijua simba anajua hata tabia za wachezaji wa simba...
Mzungu pekee ambaye atleast atakuwa na uhalisia ni UCHEBEUkweli ni kwamba group stages ni mwezi ujao tu,akiletwa mzungu hapa itakuwa balaa sana mda wa kuanza kuisoma team tutalaumiana ,zahera anaijua simba anajua hata tabia za wachezaji wa simba...