Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Huyo uchebe South Africa kapewa timu na hakushinda mechi hata moja Hadi katikuliwaMzungu pekee ambaye atleast atakuwa na uhalisia ni UCHEBE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo uchebe South Africa kapewa timu na hakushinda mechi hata moja Hadi katikuliwaMzungu pekee ambaye atleast atakuwa na uhalisia ni UCHEBE
anashangaza sana karidhika na leseni yakeMatola nae aende shule, akatafute leseni kubwa aje apewe mikoba
Jamaa kama ulikuwepo kwenye akiliyangu.Au Maosud Juma.
Nimkubali kwa jinsi asivyochelewa kufanya Sub.
Na kuifanya timu kucheza kwa kasi
Nyie pisi kali hebu kuweni na adabu, Yanga ina heshma zake hatuhitaji walevi, waropokaji na wachawi. Huyo abakie huko Black Nyau FC (BNF).kawaida tu unadhani utopolo leo wakimpta Hajj manara hawatampamba?shughuli itakuwa kwa yanga kumtukana maana aliwabeba sana na bado anawadai hela
kuwa na heshima unapooongea na big boys wa africa,best 16 so farNyie pisi kali hebu kuweni na adabu, Yanga ina heshma zake hatuhitaji walevi, waropokaji na wachawi. Huyo abakie huko Black Nyau FC (BNF).
Zahera anajua kupaki basi tuUkweli ni kwamba group stages ni mwezi ujao tu,akiletwa mzungu hapa itakuwa balaa sana mda wa kuanza kuisoma team tutalaumiana ,zahera anaijua simba anajua hata tabia za wachezaji wa simba.
Kuna kocha yule mdachi aliyekuwa leopards naona anapigiwa debe lakini hivi jamani hamjawahi kufikiria kuna suala la lugha linatatiza wachezaji?
Jana nilikuwa naanglia clips za kwenye boats wakienda zanzibar,Morrison anataniana na wenzake wanakula karanga za nganda halafu wakamuita wanamumbia akawatafutie dust bin jamaa kuzenguana akamuambia dilunga na Ajib kwamba hawana lolote kuliko yeye yeye ndo messi(alisema kwa english)huku zimbwe akiwa anacheka akasema kasoro huyu(yaani zimbwe jr)dilunga na ajib wakabaki wanatoa macho ,nilijiuliza sana kuna uwezekano hawajamuelewa au ile heavy accent ya ki west africa ni shida kwao kuisikia.
Wachezaji wa utopolo leo hawana shida ya lugha mburundi wanamuelewa,wanaozungumza kifaransa wanaumelewa pia hat wa English
TAFDHALI MPENI TEAM MWINYI ZAHERA...siku 3 tu itacheza anavyotaka yeye.Huku hakuna shida ya hela aliyokumbana nayo yanga na kuhusu nidhamu tunajua kina mkude wenyewe watanyooka kwa huyo mkongo
hakuwa na washambuliaji kipindi kile huko yangaZahera anajua kupaki basi tu
Nyie pisi kali hebu kuweni na adabu, Yanga ina heshma zake hatuhitaji walevi, waropokaji na wachawi. Huyo abakie huko Black Nyau FC (BNF).