Mtazamo wangu: Tuzo zote za Afrimma East Africa kwenda Kenya

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Upande wa wanaume
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura

Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza

Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao wanagawana kura huko

Tanzania kupata hiyo tuzo tusahau
 
Kwa sautsol wana deserve wametoa album mwaka jana mwishoni, alafu wanahit nyingi mwaka huu.
 
Kama sio Ali Kiba basi wabebe Sauti Sol.
Halafu sijakuelewa hapo kwa uzalendo kwanza...wewe ni Mkenya?
no i mean wakenya watatanguliza uzalendo kwao so kura zao zote atachukua mtu wao
 
Upande wa wanaume
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura

Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza

Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao wanagawana kura huko

Tanzania kupata hiyo tuzo tusahau

Wema yuko divided kwa sasa, so kura zake zinaweza kwenda kwa Diamond na hivyo kumpunguzia nguvu Kiba.

Hope unajua nguvu ya misukule wake kwenye hizi kitu.
 
unajua kenya picha nyingi ni za uhuru halafu zinafuta za diamond

akifika nairobi huyo domo anafunga jiji
kule nigeria kakomba fans wa p square davido iyanya na kcee huyo yemi alade anaijua hadi tandale

huko ug kawa shemeji wa nchi nzima

kwa tanzania anapigiwa kura maana jamaa ndio mtunzi wa nyimbo za taifa atakosa kura za kariakoo tu
 
Kaa kimya wewe huna ujualo.
Kenya Ali Kiba anakubalika kuliko Diamond,labda Uganda huko ndio sijui.
 
hapa bongo diamond hana kura nyingi tena yule hawara wake kamuharibia sana anatukana watu sana huko insta.kamsababishia diamond mabeef yasiyo na maana me mwenyewe nilikuwa nampenda diomond sana ila kwa sasa simfeel kiviile!
bora useme hata alikiba anaweza kupata kura huko kenya diomond big no muulize huda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…