Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Upande wa wanaume
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura
Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza
Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao wanagawana kura huko
Tanzania kupata hiyo tuzo tusahau
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura
Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza
Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao wanagawana kura huko
Tanzania kupata hiyo tuzo tusahau