Mtazamo wangu: Tuzo zote za Afrimma East Africa kwenda Kenya

cha ajabu hakita kuwepo..
ikumbukwe kuwa afrimama sio kama KTMA
 
Kaa kimya wewe huna ujualo.
Kenya Ali Kiba anakubalika kuliko Diamond,labda Uganda huko ndio sijui.
Ali Kiba ni maarufu Machakos na Mombasa while Diamond ni maarufu Nairobi
 
katika hao wasanii wawili mmoja anategemea mashabiki wa tanzania na kenya, na mwingine anategemea mashabiki wa nchi nyingi za afrika, kwahiyo mtoa mada usijali tuzo lazima ije bongo.
 
Mashabiki wa Mondi ni kama Kenya nzima...
Sijaona reason yakumkosesha Chibu tuzo
Diamond Plutnumz [emoji238] #GOAT
 
Sawa..!!!
 
Sawa..!!!
 
Bibi gani anamlazimisha..!?
 
Upande wa wanaume
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura

Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza

Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao wanagawana kura huko

Tanzania kupata hiyo tuzo tusahau
Kura za Kiba
Tz
Kenya

Kura za Diamond
Tz
Uganda (Kwa shem Zari)
Congo (kajiongezea mashabiki wa papa wemba)
Nigeria (kajiongezea mashabiki wa p.square)
Kenya
Ulaya (Shoo alizofanya ktk nchi km Frane, Marekani (One africa festival hii kitu ilikuwa kubwa) (Bet Nomination), Australia kuna mashabiki kajiongezea n kujitambulisha zaidi)
South Africa (kajiongezea Mashabiki wa Aka, Casper n Mafikizolo)
 
Kaa kimya wewe huna ujualo.
Kenya Ali Kiba anakubalika kuliko Diamond,labda Uganda huko ndio sijui.

Kura za Kiba
Tz
Kenya

Kura za Diamond
Uganda (Kwa shem Zari)
Congo (kajiongezea mashabiki wa papa wemba)
Nigeria (kajiongezea mashabiki wa p.square)
Kenya Ulaya (Shoo alizofanya ktk nchi km Frane, Marekani (One africa festival hii kitu ilikuwa kubwa) (Bet Nomination), Australia kuna mashabiki kajiongezea n kujitambulisha zaidi)
South Africa (kajiongezea Mashabiki wa Aka, Casper Mafikizolo)
 
Mbona zile tuzo alizoshinda Kiba Nigeria kakosa kama ndio hivyo?
Jiongeze wewe.
 
Mbona zile tuzo alizoshinda Kiba Nigeria kakosa kama ndio hivyo?
Jiongeze wewe.
Afrimma is big tofauti na zile tuzo ndo maana hata jina za izo tuzo ww huzijui
 
Upload izo picha za chooni hapa na nyinginezo.....
 
Always WCB ile nembo tu inatosha kumpigia kura Mr Lion.... Huyu Lupela asubir Tembo na manyumbu wampigie but not brave people like me!!! Sisemi Nawaza tu kwa sauti
 
Always WCB ile nembo tu inatosha kumpigia kura Mr Lion.... Huyu Lupela asubir Tembo na manyumbu wampigie but not brave people like me!!! Sisemi Nawaza tu kwa sauti
Unajiita brave kwa utumbo ulioandika hapo!! Maajabu hayatoisha.
 
Mtakuja kusema amenunua hapa hapa,yaani Watanzania tuliumbwa wachawi kiasili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…