Mchiwa Ng'ambaku
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 959
- 803
Tuzu alizoshinda alikiba zinaitwa NAFCA hapo kwenye screenshot hazipo acheni kubishanaMkuu me nidanganye ili iweje alafu me sipo kwenye hayo mambo ya utimu utimu, me nimetoa data km zilivo sema sielewi kwanini mtu uchukie mafanikio ya mwanaume mwenzio, anyway ushahidi wa huo apo
Hapo tuzo alizo shinda Alikiba ni zipi? Nacho jua hizo zote bado hazijatolewa
Asante wewe ndo umejibu swali!Tuzu alizoshinda alikiba zinaitwa NAFCA hapo kwenye screenshot hazipo acheni kubishana
Hivi kati ya Mimi na wewe Nani haelewi nakuona povu jingi akati nimekuuliza swali rahisi sana mkuu! Sijakataa Diamond kuomba kura tuzo kibao tuuu anaomba kura! Hapa tupo kwenye tuzo alizo shinda Alikiba na Diamond kashindwa wewe unasema Diamond aliomba Kura ukaleta na Screen shoot ndo nakuuliza hizo tuzo ambazo alikiba alishinda na diamond aliomba kura katika hizo ulizo screenshot ziko wapii Nitajie kama Ni Afrima au zipi mimi nimekwambia nacho jua hizo tuzo ulizo screenshot wewe bado hazijatolea
Sasa nieleweshe mimi kuwa tuzo hizii ndo diamond aliomba kura lakini amezikosa kiba kapata!! Kitu rahisi lakini povu jingiiiii.....sijui kusoma so naandikiwa na kusoma maandika yako hapo au?
PopobawaAli Kiba ndio mdudu gani hivi?
Hiyo dhuluma Ali Kiba aliifanya vipi? Lini?Usisahau alikiba kafanya dhuruma Kenyaaaaa ya Millioni 32 na wakenya ndo wanaongoza kwa. Kupost hiyo habari kuliko watanzania kuanzia Citizen