Mtazamo wangu: Walimu wa diploma ni bora kuliko ambao hawajapitia diploma wakapata degree


Siyo mzima ww, kapime uwezo wa ubongo wako.
 
Siyo mzima ww, kapime uwezo wa ubongo wako.

najaribu kutafakari naumwa nini, sioni. Hebu nisaidie. Jenga hoja kama GREAT THINKER. Stop being myopic, think hard
 

mbona elimu yako haijakukomboa? Jibu hoja, acha kushambulia mtu. Small minds discuss people
 

pinga kwa hoja mkuu!
 
kujua content na kushindwa kuiwasilisha kwa wanafunzi ni kuwa bora mwl na si mwl bora!
 
sasa nyie walimu badala ya kupigania maslahi yenu,nyie mnakomaa kushindana nani mwalimu zaidi...
Mmeridhika na vipato vyenu??
 
sasa nyie walimu badala ya kupigania maslahi yenu,nyie mnakomaa kushindana nani mwalimu zaidi...
Mmeridhika na vipato vyenu??

mkuu uko nje ya mada. Anzisha uzi mwingine
 
kwa mjadala kama huu nadhani tunaweza kuhitimisha kwa kusema, WALIMU WA CHUO KIKUU TATIZO SI LAO BALI NI LAO + MFUMO MBOVU. Nawashukuru kwa mjadala, tupunguze harakati na tufundishe watoto, hatukomoi CCM bali ndugu zetu masikini:clap2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…