Mtazamo wangu: Walimu wa diploma ni bora kuliko ambao hawajapitia diploma wakapata degree

Mtazamo wangu: Walimu wa diploma ni bora kuliko ambao hawajapitia diploma wakapata degree

Hao walimu watakuwa bora kwa vigezo vyako kama watabaki na diploma zao ila wakienda kusoma degree wakirudi watakuwa na vigezo sawa na waliounganisha degree bila kupita diploma. Sababu kubwa wa dip. wanafundishwa sana utii 'ndiyo mzee' kuliko kuhoji (nadhani) na hawaoni future nyingine zaidi ya ualimu na hutenda kazi kwa bidii wakiwaza kufikiriwa kwenye vyeo vya ngazi ya shule ambavyo wa degree huwa haviwazii sana. Nasema hawahoji mfano nshawahi kufanya field chuo cha ualimu Songea kwanza nkagundua wimbo wa chuo wanaouimba kila j'tatu ulikuwa na baadhi ya mistari inayomalizikia "ualimu ni witooo" sa unategemea akienda kazini atahoji chochote. Pia nilikuta walimu vijana wenye degree pale wako busy na mambo yao (kazi za nje) ya kuongeza kipato mfano wengine wanapiga dili hadi open university na hao wenye dip. ndo wengi walikuwa wamekamata vyeovyeo vya idara na wanaonesha kuridhika. Mambo mengi sana yanawafanya wa diploma wawe walimu 'haswa'.

ukubali ukatae, ualimu lazima uwe na wito. Weka siasa pembeni HAKI NA WAJIBU
 
kwa hiyo tatizo liko wapi

Tatizo ni suala la je! umeridhika? Na hayo ndiyo yalikuwa matarajio yako baada ya kusomea degree ya ualimu? Kama umeridhika utapiga kazi kwa kuonyesha ubora wako wote kinyume chake ni bora liende. Mfano angalia raia wanavyouponda ualimu hasa wanaochukua course nyingine vyuo vikuu lakini haohao wanapenda kuwa walimu wa vyuo vikuu na ukiwa mwalimu nadhani utafundisha, utasahihisha na pilika zote za ualimu ila hapa utagundua mtu hachukii ualimu ila anachukia mazingira ya ualimu hasa wa sekondari na primary Tanzania kwa hyo hata walimu wengi wa degree wengi hawaoneshi ubora wao wote kwa sababu kuna vitu hawajaridhika navyo sina uhakika kama wa diploma wanakuwa wameridhika navyo ila nadhani wameridhika navyo.
 
ukubali ukatae, ualimu lazima uwe na wito. Weka siasa pembeni HAKI NA WAJIBU

Nadhani neno 'WITO' linahitaji mjadala ili tujue kama ualimu lazima uwe na wito basi kazi gani ambayo si lazima uwe na wito....nadhani we ndo unaanza siasa kujificha kwenye kichaka cha 'haki na wajibu' na kusahau 'wajibu na haki'.
 
Chuo kikuu nnavyofaham mie watu hukariri tu ili kupita ktk tests na UE.. Graduates wachache sana wa unvsty hutoka na professionalism ya ualim ukilinganisha na wa Dip...!
Dip wanapikwa vizuri..na hawana makuu ukilinganisha na hao wa Shahada..
 
Nimekuwa kwenye fani ya ualimu kwa muda mrefu sasa, moja ya vitu nilivyogundua (baada ya research) ni kuwa walimu wazuri ni wale waliosomea diploma ya ualimu, wakaenda makazini, au makazini then chuo kikuu. Sababu ni
1. Wanajua teaching strategies zaidi ya ambao wameunganisha chuo kikuu.
2. Wanajituma kazini zaidi
3. Wanajua matumizi ya lugha nyepesi na inayoeleweka kwa wanafunzi.
4. Wana manage discipline ya darasa vyema
5. Wanapenda kujifunza mambo mapya

Hakuna utafiti! kaa kimya
 
Chuo kikuu nnavyofaham mie watu hukariri tu ili kupita ktk tests na UE.. Graduates wachache sana wa unvsty hutoka na professionalism ya ualim ukilinganisha na wa Dip...!
Dip wanapikwa vizuri..na hawana makuu ukilinganisha na hao wa Shahada..

ahsante mkuu kwa uchambuzi
 
1.Inferiority complex is one among the censers of personality that diploma teachers suffers when mixed with Degree teachers. The same disease I guess inayomsibu mtoa mada.
2. Hoja yako imeegemea katika utafiti upi? Fanya comparative analysis hata ya matokeo ya form four 2011 subject wise kati ya masomo yalokuwa yanafundishwa na walimu wa diploma na degree na performance ya wanafunzi katika masomo husika. Pia fuatilia shule zilizo perform vizuri, je uwiona wa walimu wa diploma na degree uko vipi?
3. Mazingira ya shule za Serikali za Tanzania ni bora zaidi kwa mtu mwenye Diploma kuliko mwenye Degree. I diploma holder feel comfortable and enjoy the work than degree holder. Degree holder need better environment to deliver, siyo shule za kata.
4. Walimu wa Diploma wanafundishwa na walimu wa degree (wakufunzi) ambao ndo tunasema they poorly perform, mazingira ya vyuo vya ualimu are much better than than secondary schools. Vyuoni kuna semina za hapa na pale na mazingira ni mazuri.

Its a fallacy to conclude that "Diploma teachers are better than those with Degree". Is this apply to the entire world?
 
1.Inferiority complex is one among the censers of personality that diploma teachers suffers when mixed with Degree teachers. The same disease I guess inayomsibu mtoa mada.
2. Hoja yako imeegemea katika utafiti upi? Fanya comparative analysis hata ya matokeo ya form four 2011 subject wise kati ya masomo yalokuwa yanafundishwa na walimu wa diploma na degree na performance ya wanafunzi katika masomo husika. Pia fuatilia shule zilizo perform vizuri, je uwiona wa walimu wa diploma na degree uko vipi?
3. Mazingira ya shule za Serikali za Tanzania ni bora zaidi kwa mtu mwenye Diploma kuliko mwenye Degree. I diploma holder feel comfortable and enjoy the work than degree holder. Degree holder need better environment to deliver, siyo shule za kata.
4. Walimu wa Diploma wanafundishwa na walimu wa degree (wakufunzi) ambao ndo tunasema they poorly perform, mazingira ya vyuo vya ualimu are much better than than secondary schools. Vyuoni kuna semina za hapa na pale na mazingira ni mazuri.

Its a fallacy to conclude that "Diploma teachers are better than those with Degree". Is this apply to the entire world?
 
1.Inferiority complex is one among the censers of personality that diploma teachers suffers when mixed with Degree teachers. The same disease I guess inayomsibu mtoa mada.
2. Hoja yako imeegemea katika utafiti upi? Fanya comparative analysis hata ya matokeo ya form four 2011 subject wise kati ya masomo yalokuwa yanafundishwa na walimu wa diploma na degree na performance ya wanafunzi katika masomo husika. Pia fuatilia shule zilizo perform vizuri, je uwiona wa walimu wa diploma na degree uko vipi?
3. Mazingira ya shule za Serikali za Tanzania ni bora zaidi kwa mtu mwenye Diploma kuliko mwenye Degree. I diploma holder feel comfortable and enjoy the work than degree holder. Degree holder need better environment to deliver, siyo shule za kata.
4. Walimu wa Diploma wanafundishwa na walimu wa degree (wakufunzi) ambao ndo tunasema they poorly perform, mazingira ya vyuo vya ualimu are much better than than secondary schools. Vyuoni kuna semina za hapa na pale na mazingira ni mazuri.

Its a fallacy to conclude that "Diploma teachers are better than those with Degree". Is this apply to the entire world?

unanishangaza kuhusu hilo la inferiority complex.

Pia mazingira ya kufanyia kazi kwa degree holder yawe tofauti. (fikra hasi) kwa nini? Kwa lipi?

LENGO LA MADA NI KUONESHA KUWA KUNA TATIZO LA MSINGI KWENYE MTAALA WA VYUO VIKUU. Tafakari
 
@ rifwima, degree holders kuwa walimu wa diploma ni kweli. UBORA WA DIP HOLDERS UNAKUWA KWENYE MTAALA
 
Chuo kikuu nnavyofaham mie watu hukariri tu ili kupita ktk tests na UE.. Graduates wachache sana wa unvsty hutoka na professionalism ya ualim ukilinganisha na wa Dip...!
Dip wanapikwa vizuri..na hawana makuu ukilinganisha na hao wa Shahada..

once again nakubali mchango wako.
 
wakuu, conclusion ni ipi? Tunafunga thread hii
 
wakuu, conclusion ni ipi? Tunafunga thread hii


it is more sistuational but dip ed inajikita zaidi kwenye teaching methodology(now days ndo kabisa manake zamani ilikua dp ni academic) ilagraduates wanakuwa na broad understandings kwenye theories tofauti,rejea mitaala ya elimu ya diploma vyuoni na curriculum ya degree za ualimu,hapo ndo ungekuwa msingi wa comparison yetu.tatizo ni vile kwa nchi yetu hakuna ile issue ya ceteris peribus manake unaweza kukuta kuna situation graduates hawana working env nzur of which itakua na impact katika kufundisha kwao.Ila msingi wa comparison ukizingatia curriculum iko wazi kuwa dip.ed wako well exposed kwenye methodology na makuzi ya watoto ila graduates wana uelewa mpana zaidi katika issue mbalimbali(theories) regarding ed pia wako nondo sana
 
it is more sistuational but dip ed inajikita zaidi kwenye teaching methodology(now days ndo kabisa manake zamani ilikua dp ni academic) ilagraduates wanakuwa na broad understandings kwenye theories tofauti,rejea mitaala ya elimu ya diploma vyuoni na curriculum ya degree za ualimu,hapo ndo ungekuwa msingi wa comparison yetu.tatizo ni vile kwa nchi yetu hakuna ile issue ya ceteris peribus manake unaweza kukuta kuna situation graduates hawana working env nzur of which itakua na impact katika kufundisha kwao.Ila msingi wa comparison ukizingatia curriculum iko wazi kuwa dip.ed wako well exposed kwenye methodology na makuzi ya watoto ila graduates wana uelewa mpana zaidi katika issue mbalimbali(theories) regarding ed pia wako nondo sana

naheshimu mchango wako. Nini kifanyike?
 
Shule ya MBEZI high walikuwa wanahitaji mwalimu wa CB, wakaweka vigezo, diploma au dip to degree. Wakasema hawahitaji degree bila diploma. Mnaonaje wadau
 
Mtoa mada inabidi upokee mawazo ya aina tofauti na sio tayari kuwa na conclusion yako kichwani.Umeleta mada ijadiliwe independently acha kufanya kama unamajibu tayari na hapa unasahihisha.Haiwezekani wote wenye views tofauti na zako uwaite wanasiasa na wanaharakati huku wanaofanana na wewe kuwasifia eti ndo wanajua!Huu ni mjadala bana otherwise usingeuleta hapa kama tayari una majibu.
 
Nimekuwa kwenye fani ya ualimu kwa muda mrefu sasa, moja ya vitu nilivyogundua (baada ya research) ni kuwa walimu wazuri ni wale waliosomea diploma ya ualimu, wakaenda makazini, au makazini then chuo kikuu. Sababu ni
1. Wanajua teaching strategies zaidi ya ambao wameunganisha chuo kikuu.
2. Wanajituma kazini zaidi
3. Wanajua matumizi ya lugha nyepesi na inayoeleweka kwa wanafunzi.
4. Wana manage discipline ya darasa vyema
5. Wanapenda kujifunza mambo mapya

Ndugu yangu Nyakageni, umeweka bayana mambo yako. Nna swali kuhusu RESEARCH yako.
1.Uliifanya lini na wapi?
2. Jee lengo mahususi la huo utafiti wako lilikuwa vipi?
3.Sampuli ilikuwa wakilishi ikasi gani?
4. Umetupa matokeo yake (Utafiti wako).
Ukijibu haya maswali utatusaidia kupata vizuri unachotaka kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom