Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
@Nyakageni, nimesema wengi na bado nasimama kwenye point yangu. Wengi wao hata hawana sifa ulizotaja kama mshauri,mnasihi, kiongozi nk. Hao niliotaja hapo juu kwangu ni the best angalau hawakusomea ualimu.Wana sifa zote kuanzia kufundisha mpaka sifa ulizotaja wewe. NAONGEZA WENGINE AMBAO KWANGU NITAWAKUMBUKA, NA HAWA NI WALIMU WLIOSOMEA,WANA SHAHADA HAWA; MKANDAWILE MWALIMU WA KEMIA, ALIWAHI FUNDISHA PUGU BAADAE LOLOYA, BUSANJI ALIKUWA PUGU AKAENDA MAKONGO. HAO NI MIONGONI MWA WALIMU WACHACHE SANA, NAJUA WAPO WENGI WAZURI LAKINI RATIO YA WAZURI NI NDOGO SANA 0.00000000000000001.WENGI WALIKIMBILIA HUKU BAADA YA KUONA SEHEMU NYINGINE HAWAEZI KWENDA.