MTC,MIST and MUST special Thread....

MTC,MIST and MUST special Thread....

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Here we Can Meet,discuss,Enjoy and Share the Opportunity of Bond,between Wajumbe.....
RIP Kilagane
RIP Mukurasi
and all that,

Karibuni Watoto wa Zuberi,na Msambichaka......
 
Tuanze na uhalali wa vyeti vyetu.

Nasikia vyeti vya FTC vilibadirishwa na NEC kwamba unapeleka wanakubadirishia. Je kuna ukweli wowote??
 
Dah 'emte' tulivyozoea kuiita vijana wa Iyunga tech enzi hizoo tukienda kugonga 'nyali' anyway mi ni jirani yenu wa karibu sanaaa maana ule ubwabwa wenu niliugongaaa karibu wik end zote za O LEVEL @ Iyunga 2001-2004
 
Wapi wazee wa mavula vula na picnic za Sistila kwa babu Nyuki, wapi ndezi chakula ya wajumbe! Kumbe Kilagani alishavuta? Alikuwa kaksi sana kasarani Mungu amlaze panapomstahili!
 
Wapi wazee wa mavula vula na picnic za Sistila kwa babu Nyuki, wapi ndezi chakula ya wajumbe! Kumbe Kilagani alishavuta? Alikuwa kaksi sana kasarani Mungu amlaze panapomstahili!
hatari sana mkuu,kule sistila ulikua ukinikuta ukaniita jina tunagombana
 
hatari sana mkuu,kule sistila ulikua ukinikuta ukaniita jina tunagombana

Kula sana watoto wa Kalobe, Itende na Mbeya Day, nakumbuka Enzi zile mtu unachukua mtoto wa Loleza siku za Jumapili unaenda kuchinjia pale Mjomba Anex Soko Matola ama Nkwenzulu Motel kwa wale wa kishua! Wapi Somanga!
 
teh
Kula sana watoto wa Kalobe, Itende na Mbeya Day, nakumbuka Enzi zile mtu unachukua mtoto wa Loleza siku za Jumapili unaenda kuchinjia pale Mjomba Anex Soko Matola ama Nkwenzulu Motel kwa wale wa kishua! Wapi Somanga!
tehe Mjomba Anex mkuu umenikumbusha mbali hatari
 
Kula sana watoto wa Kalobe, Itende na Mbeya Day, nakumbuka Enzi zile mtu unachukua mtoto wa Loleza siku za Jumapili unaenda kuchinjia pale Mjomba Anex Soko Matola ama Nkwenzulu Motel kwa wale wa kishua! Wapi Somanga!
daah! unanikumbusha ticha mwakasege,mwakosya,mwendamseke ndudi na marehemu chiallo,pia kuscramble nyali na pola
 
Back
Top Bottom