GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Akiivusha Simba SC kwenda Nusu Fainali ya CAFCC dhidi ya Orlando Pirates FC atakuwa ameponya Kufukuzwa (kuwa Sacked) Msimbazi, ila tayari Matajiri wa Orlando Pirates FC nao wameshampa Ofa (tena Kubwa tu) kama akikubali kutua Kwao muda wowote kuanzia sasa.
GENTAMYCINE ningekuwa ndiyo Kocha Pablo Franco Martin kwa Hadhi ya Ligi Kuu ya South Africa, Uweledi wake, Utajiri wao na hata Mazingira yake wala nisingepoteza muda na Waswahili ambao kila mara tu (kila Siku) wananitishia Kunifukuza na wananifanya nifanye Kazi yangu kwa Presha Kubwa ukizingatia Michezaji yao mingi ( ya Kigeni na Wazawa ) sikuwasajili Mimi na walisajiliwa Kimipango Mipango ( Kisamjo Samjo ) tupu tu huku 10% zikitawala kwa hao Waliowaleta Klabuni.
Nikisema Mechi itakuwa Ngumu kutokana na Mazingira mengi ninayoyaona na hapo bado CEO wa Yanga SC Senzo Mazingisa Mbatha (ambaye anaijua vyema Simba SC na Michezo yake ya Nje ya Uwanja hasa kwa Timu Ngeni zinazokuja Kucheza nasi) hajawaambia Nduguze hao Siri zetu zote kama ambavyo pia alifanya kwa Kaizer Chiefs FC walipokuja Kucheza nasi mwaka Jana hamnielewi na mnanichukia huku mkidhani naichukia Simba SC wakati kumbe Kiuhalisia ni kwamba Naipenda, ila nawakosoa ili Wajitathmini, Wajipange na Wakazane kwakuwa hatua ya sasa ni ya 'Kiumeni' zaidi.
GENTAMYCINE ningekuwa ndiyo Kocha Pablo Franco Martin kwa Hadhi ya Ligi Kuu ya South Africa, Uweledi wake, Utajiri wao na hata Mazingira yake wala nisingepoteza muda na Waswahili ambao kila mara tu (kila Siku) wananitishia Kunifukuza na wananifanya nifanye Kazi yangu kwa Presha Kubwa ukizingatia Michezaji yao mingi ( ya Kigeni na Wazawa ) sikuwasajili Mimi na walisajiliwa Kimipango Mipango ( Kisamjo Samjo ) tupu tu huku 10% zikitawala kwa hao Waliowaleta Klabuni.
Nikisema Mechi itakuwa Ngumu kutokana na Mazingira mengi ninayoyaona na hapo bado CEO wa Yanga SC Senzo Mazingisa Mbatha (ambaye anaijua vyema Simba SC na Michezo yake ya Nje ya Uwanja hasa kwa Timu Ngeni zinazokuja Kucheza nasi) hajawaambia Nduguze hao Siri zetu zote kama ambavyo pia alifanya kwa Kaizer Chiefs FC walipokuja Kucheza nasi mwaka Jana hamnielewi na mnanichukia huku mkidhani naichukia Simba SC wakati kumbe Kiuhalisia ni kwamba Naipenda, ila nawakosoa ili Wajitathmini, Wajipange na Wakazane kwakuwa hatua ya sasa ni ya 'Kiumeni' zaidi.