Mtego utakaowanasa wana JF?-JK kufanya mabadilko?!

Mtego utakaowanasa wana JF?-JK kufanya mabadilko?!

Tunasubiri kuona kuwa kama yale atakayoyafanya Mh Rais yatakuwa ni sawa na matarajio yetu sisi wananchi!
 
Ila mimi nimenza kumuonea huruma sana Jk. Unajua mvumilivu sharti ale mbivu! I wish hao mashujaa wa UFISADI kina Lowasaa, Chengge, Kaaramagi, Balalii, na wengine wangekuwa wanamgawia vijisenti ukizingatia yeye hawabugudhi wala nini....anawavumilia kiasi cha kutosha, na lawama zote anapata yeye!

Just a dream......


Sir, Are you sure?
 
Na ndio maana nikauliza...Je kupangua baraza peke yake inatosha ama Chenge na Balali wakamatwe?



Watu tunataka output nzuri thats all!Hatutaki ahadi,tume ,au ana nia gani na mengineo nop tunataka leo iwe afadhali kuliko jana ,sio kila kukicha bora ya jana.Kupangua baraza asipangua atachua yeye kwanza inaonyesha anaangalia usoni kuchangua mtu kama alivyochaguliwa yeye kuwa rais haangalii criteria za mtu kuwa kiongozi ndio maana inakuwa hivyo.
Kasi ya ulimwengu wa sasa watu wanaangalia output sio maneno au nia,kama unashindwa kupeleka gurudumu mbele hufai kuongoza.Sisi wananchi tunatakiwa ku play part yetu ila hatua iliyopo inatakiwa kiongozi aanze kwanza ndio game yetu inaendelea.
 
wahenga wanasema wewe ukijua hili wenzio wanajua lile...
so ndugu yangu jmushi1 wewe unajua kuwa JK anajiandaa kuwafanyia mbovu mafisadi wakati wenzio wanaweka akaunti zao sawa ili wawakamate wajinga 2010 katika uchaguzi...so cha msingi ni kuendeleza mapambano dhidi yao na si kusubiri eti siku 1 inakuja JK atachachamaa...hakuweza alfajiri je ataweza magharibi?
 
angekuwa na nia ya kweli ya kuwakata mafisadi angemrudisha balali kwanza, haojiwe ndo watu watajua ukweli. otherwise ni usanii mtupu.
 
Kama Zitto yuko huku na wala hamzungumzii Balali..Bali uzuri wa Kikwete asiyetaka Balali aletwe..Then si mtego huu jamani?
Kwani hatujui kuwa Tunampenda Zitto kama mwananchi mzalendo?
 
Katika kipindi cha utawala wake unaokaribia miaka mitatu, Rais Ahmedinajad amekwishafanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri mara 9 (tisa)...

Kumbe si JK pekee!
 
Hayawi hayawi?
Je huu ndio mtego ule wa mabadiliko ya JK niliosema kuwa utawanasa wana JF?
Waungwana sijui kwanini almost everything nikitabiri inatokea!
Licha ya kwamba sina hizo zinazoitwa ze dataz!
Tuliambiwa tusubiri JK atafanya kitu...Then mara Ballali katutoka.
Haya we...ka si mtego huo ni nini ndugu zanguni?
Kwasababu kama ni mabadilko ya kesi ni kweli tayari yanaelekea kuwa construed.
 
'JK is going to do something very soon'
Hizo mbwe mbwe tu. Wapi Balali? Lowassa na team yake bado wanapeta, Che Nkapa anazid kutesa, Chenge na vjisenti Shujaa wa bariadi. MANENO MENGI NA POROJO TU!! wameweka misheria kibao kama ukuta wa kujilinda!!

Sio tu misheria kibao ya kujilinda...Bali kuna wanaoamini kuwa wapewe kinga.
Maarifa nasikitika hapo kwenye Ballali kwasababu wakati ukisema hayo alikuwa mzima!
 
Kama Zitto yuko huku na wala hamzungumzii Balali..Bali uzuri wa Kikwete asiyetaka Balali aletwe..Then si mtego huu jamani?
Kwani hatujui kuwa Tunampenda Zitto kama mwananchi mzalendo?

i doubt it !
 
Kweli haiwezekani niwe kichaa ama juha kama kuna nusa nusa na tabiri kibao zimekuwa kweli..Mungu mkubwa wengine hatujajua bado vipaji tulivyopewa na Mungu..Sasa kama tukiwa na data si ndio balaa?
Ndugu zangu waliokuwa wakifuatilia siasa za Marekani kule kwenye thread a Obama watakubali kuwa tabiri zangu ama nusa nusa si bure na pia si za kiwenda wazimu kama vile wengi wanavyojaribu ku protray.
 
Watu tunataka output nzuri thats all!Hatutaki ahadi,tume ,au ana nia gani na mengineo nop tunataka leo iwe afadhali kuliko jana ,sio kila kukicha bora ya jana.Kupangua baraza asipangua atachua yeye kwanza inaonyesha anaangalia usoni kuchangua mtu kama alivyochaguliwa yeye kuwa rais haangalii criteria za mtu kuwa kiongozi ndio maana inakuwa hivyo.
Kasi ya ulimwengu wa sasa watu wanaangalia output sio maneno au nia,kama unashindwa kupeleka gurudumu mbele hufai kuongoza.Sisi wananchi tunatakiwa ku play part yetu ila hatua iliyopo inatakiwa kiongozi aanze kwanza ndio game yetu inaendelea.

Ahadi bado zinaendelea huko bungeni ndugu yangu na JF imigawanyika kimtizamo.
Ila Inshalah Mungu ataturudisha pamoja ili tuendelee na kuwarekebisha viongozi wapotofu.
 
Mada tata hii na maelezo hayatoshi kujitosheleza ii tuseme .What do you know about his plans ? Sema na tuone huo mtego ni upi .Mabadiliko kwa njia ipi ?Anafanya kweli ama anafanya ili tukae kimya ?Angalitaka mapambano hata kwa siri basi amwache Zitto apeleke Bill yake badala ya CCM yake kufanya mauza uza .

Lunyungu posting yako hii ya mwanzo kabisa mara baada ya kupost hii thread...Haya je ni kweli ama si kweli?
 
We are tired of waiting and we don't need another cabinet change but we need a NEW ELECTION NOW and not 2010. JK is a big failure those frequently cabinet changes will not be able to achieve anything meaningful to Tanzanians.

Bubu...Haya ndiyo tuliyokuwa tukiyapigania...Nakwenda kulala mkuu lakini ni wazi umeelewa kuwa kikao hiki cha bunge ni muhimu kuliko tunavyoelewa.
WABUNGE WADAI RIPOTI YA MADINI NA NYINGINEZO..HUU NI WAKATI WA KUWAHOJI WATUHUMIWA NA HATIMAYE KUWAFUNGULIA MASHTAKA. Naomba tusisahau kuendelea kuwashinikiza wabunge hao kufanya hivyo...Si tu kupiga kelele kama kawaida..Bali kudai haki kwa nguvu zote.
 
JK maji shingoni. Hawezi kupambana na mafisadi kwasababu naye ni fisadi. Itakuaje amtetee Lowassa!!!!!!!!!!Pamoja na kamati zote zakuchunguza ufisadi hapa na pale kuna nini tumeona?
 
Sasa tuanze kupanga namna ya kuanza upya, rais anapatikana bila shida, je mawaziri? na makatibu wakuu?
 
Tunalohitaji kwanza kwa sasa,watuhumiwa wote waende mbele ya pilato basi.
 
Safi sana...Na hao kina Killango wajue kuwa ni wakati wa kuwasikiliza wananchi na si guts zao zinavyosema ili kukinusuru chama chao cha Mafisadi amabacho wanataka tukiamini huku wakikaa meza moja na Mafisadi wachafu mbele za mwanadamu na Mungu.
Na huku wakiwasafisha watuhumiwa wakuu amabao hivi sasa walitakiwa tayari wawe mbele za mkono wa sheria.
 
kama kuna tukio nalingojea kwa hamu ni pale LOWASA na wenziwe watakapopanda kwa pilato kujihudhurisha kwa makosa yao against humanity
 
Back
Top Bottom