Mtego wa Yanga, Sasa umeanza kunasa

Mtego wa Yanga, Sasa umeanza kunasa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watu walianza kushangilia ushindi wa goli nyingi Kwa kucheza na wagonjwa yaani team ya Fountain gate na Tabora United ambao wachezaji wao walikuwa hawajakamilisha vibali mkawapiga mkataba mpaka BBC, Yanga tukawachek tukaaema mtanasa tu

Sisi taratibu tukaanzia Away mechi mbili za mwanzo tukachukua alama zote 6, ila mbumbumbu walijaa jukwaani kukashifu

Mbumbumbu walitamba kwamba wamefanya usajili mkubwa, sisi tukawapa angalizo kwamba pale hamna kitu

Leo mbumbumbu wametoa sare dhidi ya Coast union wakiwa nyumbani

Simba washacheza mechi nyingi za nyumbani na Leo wameokota sare ina maana round ya pili wataenda mikoani huko tena kipindi cha masika😄 viwanja vikiwa majaruba

Tarehe 19 si mbali tuwape Kono la nyani mtulie.

Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

Yanga bingwa😄
 
Watu walianza kushangilia ushindi wa goli nyingi Kwa kucheza na wagonjwa yaani team ya Fountain gate na Tabora United ambao wachezaji wao walikuwa hawajakamilisha vibali mkawapiga mkataba mpaka BBC, Yanga tukawachek tukaaema mtanasa tu

Sisi taratibu tukaanzia Away mechi mbili za mwanzo tukachukua alama zote 6, ila mbumbumbu walijaa jukwaani kukashifu

Mbumbumbu walitamba kwamba wamefanya usajili mkubwa, sisi tukawapa angalizo kwamba pale hamna kitu

Leo mbumbumbu wametoa sare dhidi ya Coast union wakiwa nyumbani

Simba washacheza mechi nyingi za nyumbani na Leo wameokota sare ina maana round ya pili wataenda mikoani huko tena kipindi cha masika😄 viwanja vikiwa majaruba

Tarehe 19 si mbali tuwape Kono la nyani mtulie

Yanga bingwa😄
Ipo wazi kama ya mbuzi
 
Back
Top Bottom