Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
CHADEMA ATA wakiandamana na fujo juu,,hawawezi kukifuta,,,,na wakikifuta ndo wanatengeneza ugaidi wenyeweCCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae law chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Vilaza wameshika hatamu na haya ndio matokeo yake.
Vilaza wameshika hatamu na haya ndio matokeo yake.
Yaani chokochoko wanazofanya CHADEMA huzioni ila unaona pale wanapokamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria ndo unahisi inafuatiliwa. Wakae kimya waache chokochoko uone kama kuna mtu atakua na habari nao.Hata sielewi CHADEMA si ilipoteza Majimbo,Udiwani ,Uraisi?Ubunge kikapata Jimbo Moja ...Mbona inafuatiliwa na ku trend Sana sasa...Kweli mliwaibia kura hawa watu..Toka Udiwani,Ubunge na Uraisi!!!!
CCM imeishiwa pumziCCM sio tena chama cha siasa, bali ni kakikundi cha watu walioamua kutumia dola kulinda madaraka waliyonayo(kubaki madarakani)
Kwa sasa wamegundua kutumia mabavu kupambana na upinzani hasa CHADEMA hakusaidii hivyo wamekuja na mkakati wa kutaka kuifuta CHADEMA kama alivyosema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika.
Wafanyaje ili kutimiza azima yao?
Jibu rahisi ni kwamba, lazima wafuasi wa upinzani wawe provoked, na njia mojawapo ya kufanikisha hilo ni kukamata hovyo hovyo viongozi wa upinzani hasa katika maeneo ambako upinzani (CHADEMA) una nguvu.
Kwahiyo,tujiandae kwa chokochoko zaidi na zaidi tuwe makini kuzikabili hizo hujuma.
Hao wamekamatwa lini?
Hao wamekamatwa lini?
Damn!Leo hii tetesi zinadai ni watu 30 hakuna uthibitisho kuhusu idadi halisi ya waliokamatwa.
Rais kivuliDamn!
But why?
Samia yuko insecure kiasi hicho?