Mtei aliongoza CHADEMA akiwa na miaka 63 hadi 68. Bob Makani 62 hadi 67. Mbowe ameongoza tangu akiwa na 30+ na bado anataka tena!

Mtei aliongoza CHADEMA akiwa na miaka 63 hadi 68. Bob Makani 62 hadi 67. Mbowe ameongoza tangu akiwa na 30+ na bado anataka tena!

Patriot missile

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2024
Posts
280
Reaction score
423
Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.

Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.

Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.

Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.

Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.
 
IMG-20241222-WA0124.jpg

Mzee Mbowe ni kama kachanganyikiwa hivi, Anasema live kama Mzee Mtei alifika miaka 68 na Mimi lazima nifike, ,😆😆
 
XxxxxX
Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.

Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.

Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.

Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.

Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.

Basi jina lake tumuite Dr. Hastings Kamuzu MBOWE chairman Omuyaya.

Ambaye ana mawazo ya kwamba CDM haiwezi kuwepo bila yeye. Kitu ambacho ni makosa makubwa sana. Maana kama hukuongoza kuandaa mrithi baada yako kwa miaka 30. Utaweza sasa? Kwa utimamu wako wa mwili na akili wa kipindi hiki kilichosalia cha uhai wako chamani na maisha yako kwa ujumla?

USHAURI WA BURE: WAPISHE WENGINE WATAFANYA VIZURI TU, TENA BILA WASI. WAKIKWAMA WATAKUOMBA USHAURI. PIA MAMBO YAKIKWAMA UNAWEZA KUSHAURI. KWA HIYO JUKUMU LAKO LA KUHAKIKISHA USTAWI WA CHAMA LIPO PALE PALE.
 
Basi jina lake tumuite Dr. Hastings Kamuzu MBOWE chairman Omuyaya.

Ambaye ana mawazo ya kwamba CDM haiwezi kuwepo bila yeye. Kitu ambacho ni makosa makubwa sana. Maana kama hukuongoza kuandaa mrithi baada yako kwa miaka 30. Utaweza sasa? Kwa utimamu wako wa mwili na akili wa kipindi hiki kilichosalia cha uhai wako chamani na maisha yako kwa ujumla?

USHAURI WA BURE: WAPISHE WENGINE WATAFANYA VIZURI TU, TENA BILA WASI. WAKIKWAMA WATAKUOMBA USHAURI. PIA MAMBO YAKIKWAMA UNAWEZA KUSHAURI. KWA HIYO JUKUMU LAKO LA KUHAKIKISHA USTAWI WA CHAMA LIPO PALE PALE.
Aone tu aibu kwakweli
 
Halafu mzee kapanic sana, hakuzoea upinzani wa aina hii kwenye chama. Alizoea ndiyo mzee, kapata kiboko yake. Anaongea kwa hasira sana. Mzee baba ni muda wa kuachia kijiti, ahsante kwa kutufikisha hapa kama Watanzania.
 
Hii Chairmanship race imemvua sana Nguo Mzee Mbowe, The best move was to step aside Ingemlindia sana Heshima yake Kuliko Sasaivi ku contest huku akiwa na wachache sana wana Muunga Mkono tena Ile inner circle yake tu
 
Halafu mzee kapanic sana, hakuzoea upinzani wa aina hii kwenye chama. Alizoea ndiyo mzee, kapata kiboko yake. Anaongea kwa hasira sana. Mzee baba ni muda wa kuachia kijiti, ahsante kwa kutufikisha hapa kama Watanzania.
Sasa si alikuwa anaitwa "kamanda tuvushe"; imekuweje tena?😁
 
Back
Top Bottom