Mtei aliongoza CHADEMA akiwa na miaka 63 hadi 68. Bob Makani 62 hadi 67. Mbowe ameongoza tangu akiwa na 30+ na bado anataka tena!

Mtei aliongoza CHADEMA akiwa na miaka 63 hadi 68. Bob Makani 62 hadi 67. Mbowe ameongoza tangu akiwa na 30+ na bado anataka tena!

Hivi mnisaidie wajuzi wa mambo...kwa mujibu WA katiba ya chadema mbowe amekiuka Sheria za uchaguzi? I mean kugomvea kwake kunavunja katiba ya chama hicho?
Je amekataza watu wengine wasigombee nafasi hiyo?
Kama wanachama wengine wamegombea na mshindi anaamuliwa na kura shida iko wapi?
wanaolazimisha mbowe ajiuziru hawaamini kukubalika kwa Tundu na kwamba Hana shawishi w kushinda na hivyo wanategemea apite bila kupingwa?
Wanataka TAL aachiwe kama Viti maalumu, Ujinga huo.

Kwa maoni yangu, na Sugu nae angegombea ili pachangamke vzuri
 
Akili ndogo kabisa mithili ya bata :Mzee Mbowe unatia aibu
Unakuta mtu anasema hivyo huku anavuka zebra kwa miguu na hofu kibao akiangalia huku na kule kusubiri waongezeke avuke kuelekea buguruni kwa mnyamani.
 
Yaani kama kajizima data vile hasikii la mwadhama wala mnadi swala.
Mungu ameamua kutufunulia yaliyo sirini tuyajue na bila zao ?!
 
Mbowe anaangalia umri ambao Mtei na Makani walikomea kuiongoza CHADEMA, amekwepa kuongelea wameongoza kwa miaka mingapi.

..kinachoendelea Chadema ni darasa zuri sana la madhara ya kutokuwa na term limits.

..Ni vigumu sana kumuelewesha mwanasiasa kwamba muda wake wa kung'atuka umefika, kwamba mchango wake kwa jamii hautakuwa wa viwango vya kuridhisha.
 
Halafu mzee kapanic sana, hakuzoea upinzani wa aina hii kwenye chama. Alizoea ndiyo mzee, kapata kiboko yake. Anaongea kwa hasira sana. Mzee baba ni muda wa kuachia kijiti, ahsante kwa kutufikisha hapa kama Watanzania.
Mambo ni magumu
 
Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.

Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.

Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.

Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.

Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.
Mbowe wamemkalia kooniz sijui kama atatoka safari hii!
 
Hakuna mtu amekatazwa kugombea uongozi na umri sio issue, acha kura zipigwe atakayeshinda ndio kiongozi halali, mgogoro fake huu
 
Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.

Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.

Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.

Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.

Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.
Mbowe Lipumba
 
Back
Top Bottom