Keshatia pamba masikioni huyo, anavyopenda Uenyekiti wa CHADEMA, hadi "akawaita watu" waende kwake ili "kumuomba" agombania tena Uenyekiti 😂😂 Drama ya kufungia Mwaka hiyo.Mzee baba ni muda wa kuachia kijiti, ahsante kwa kutufikisha hapa kama Watanzania.
Mzee Mbowe ni kama kachanganyikiwa hivi, Anasema live kama Mzee Mtei alifika miaka 68 na Mimi lazima nifike, ,😆😆
Mkuu, naona huu mpambano wa uchaguzi wa Mwenyekiti ndani ya CHADEMA, ni hadaa tu ya kuwa changanya watesi wao, hatimaye tutawaona tutawaona Mbowe na Lisu wakikumbatiana kwa furaha sana na Mbowe kutoa tamko la KUTOGOMBEA na kumwachia Lisu. Ikitokea hivyo, kuna watu wengi watawashwa na pilipili wasio kula. Tusubiri tuone.Hii Chairmanship race imemvua sana Nguo Mzee Mbowe, The best move was to step aside Ingemlindia sana Heshima yake Kuliko Sasaivi ku contest huku akiwa na wachache sana wana Muunga Mkono tena Ile inner circle yake tu
Usanii wa kitoto.sanaKeshatia pamba masikioni huyo, anavyopenda Uenyekiti wa CHADEMA, hadi "akawaita watu" waende kwake ili "kumuomba" agombania tena Uenyekiti 😂😂 Drama ya kufungia Mwaka hiyo.
🤣🤣🤣Jf jamani aiseeMbowe bilionea masikini
Mbowe anaangalia umri ambao Mtei na Makani walikomea kuiongoza CHADEMA, amekwepa kuongelea wameongoza kwa miaka mingapi.Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.
Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.
Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.
Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.
Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.
Janja janja snaaMbowe anaangalia umri ambao Mtei na Makani walikomea kuiongoza CHADEMA, amekwepa kuongelea wameongoza kwa miaka mingapi.
Shida yeye Sasa sio mpinzani tenaHivi mnisaidie wajuzi wa mambo...kwa mujibu WA katiba ya chadema mbowe amekiuka Sheria za uchaguzi? I mean kugomvea kwake kunavunja katiba ya chama hicho?
Je amekataza watu wengine wasigombee nafasi hiyo?
Kama wanachama wengine wamegombea na mshindi anaamuliwa na kura shida iko wapi?
wanaolazimisha mbowe ajiuziru hawaamini kukubalika kwa Tundu na kwamba Hana shawishi w kushinda na hivyo wanategemea apite bila kupingwa?
Mbowe ameonesha uzalendo mkubwa sana kwa CHADEMA na aongezewe muda.Mhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.
Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.
Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.
Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.
Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.
Muda upi zaidi ya ule wa miaka 20Mbowe ameonesha uzalendo mkubwa sana kwa CHADEMA na aongezewe muda.
Nyerere alikaa miaka kama 25 hivi nadhani Mbowe ana miaka mitano tena.Muda upi zaidi ya ule wa miaka 20
Anzisha chama chako tuone utaongoza miaka mingapiMhe Freeman Mbowe bila kujali yeye alianza uongozi ndani ya CHADEMA akiwa na umri wa miaka 30 bado ameendelea kujiapiza lazima na yeye afikie miaka ya Baba Mkwe wake ambayo ni miaka 68 ya kung'atuka kwake madarakani.
Mhe Freeman Mbowe tofauti na watangulize wake walioanza siasa wakiwa na umri wa miaka 63 kwa Mzee Mtei na alipofikisha miaka 68 aling'atuka huku Mzee Bob Makani alianza uongozi akiwa na miaka 62 alipofikisha miaka 67 akang'atuka.
Kwa Mzee Mbowe hali ni tofauti sana kwani yeye naye anataka afikie umri wa kustaafu wa watangulizi wake akiwemo Baba Mkwe wake bila kujali wazee hawa wao walikaa madarakani kwa kipindi kimoja tu tofauti ya Vipindi vitano alivyokaa yeye Freeman Mbowe.
Nafikiri Lissu ni Bora X 1,000 kuliko huyu anayeng'ang'ana na umri aliostaafu Baba Mkwe wake wa miaka 68 bila kuwa na sababu za kufanya hivyo , otherwise CHADEMA kiwe ni chama Cha kifalme kama kule Saud Arabia.
Mzee Mbowe hii hoja ya kutaka tukusubiri mpaka miaka 68 nayo tunaikataa Kwakuwa umri wa Baba Mkwe wako wa kustaafu wa miaka 68 sio Umri wa kisheria wa kustaafu Viongozi wa CHADEMA uliowekwa kisheri.