Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Biashara yoyote huweza kutumia mtandao kupata wateja. Wanaotangaza biashara mtandaoni wanapaswa kutambua Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) inaambua haki ya faragha ya mlaji
Faragha ni pamoja na kutosambaza taarifa za mteja wako bila makubaliano naye. Tangaza biashara yako bila kuanza kuwa-tag wateja wako wakuu kwa kuwa sio wote wanaopenda kujulikana
Aidha mteja ana haki ya kulalamika asiporidhika na huduma aliyopatiwa.
Faragha ni pamoja na kutosambaza taarifa za mteja wako bila makubaliano naye. Tangaza biashara yako bila kuanza kuwa-tag wateja wako wakuu kwa kuwa sio wote wanaopenda kujulikana
Aidha mteja ana haki ya kulalamika asiporidhika na huduma aliyopatiwa.