Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza kuishtaki serikali ndio sembuse benki?Naomba ushauri wa kisheria ili niweze kujua kama mteja anao uwezo kisheria wa kuishtaki benki, ili apate haki zake zinazominywa kwa maksudi kabisa
Usiombe uwashtaki alaf wakashinda, hiyo bill of cost itakayokuja unaweza omba jiwe liwe mkateUsiombe uwashtaki alaf wakashinda, hiyo bill of cost itakayokuja unaweza omba jiwe liwe mkateKama unaweza kuishtaki serikali ndio sembuse benki?
Kabla ya kuwashtaki ni lazima ujuwe unawashtaki kwa lipi, isijekuwa uli-agree terms and conditions zao halafu leo washangaa.