Mtende haki, Mficha ukweli

Mtende haki, Mficha ukweli

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Swala
  1. Surah An-Nisa (4:58):
    • "Hakika Mwenyezi Mungu anawaamrisha mtende haki, na kuweka usawa na kuwa na uwajibikaji katika mambo yote. Na kuwa na uaminifu kwa wale walio na dhamana, na kutenda kwa haki kati ya watu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda walio na haki."
    • Surah Al-Baqarah (2:81):
      • "Hapana shaka, hawa ni wale walio na dhambi kwa sababu ya kumficha ukweli kwa ajili ya fedha za kidunia na hawatakuwa na sehemu nzuri katika Akhera."


Ukisoma aya hizi halafu ukawa mtu uliopewa dhamana ya Kuongoza jamii lazima utandeka haki.
 
Swala
  1. Surah An-Nisa (4:58):
    • "Hakika Mwenyezi Mungu anawaamrisha mtende haki, na kuweka usawa na kuwa na uwajibikaji katika mambo yote. Na kuwa na uaminifu kwa wale walio na dhamana, na kutenda kwa haki kati ya watu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda walio na haki."
    • Surah Al-Baqarah (2:81):
      • "Hapana shaka, hawa ni wale walio na dhambi kwa sababu ya kumficha ukweli kwa ajili ya fedha za kidunia na hawatakuwa na sehemu nzuri katika Akhera."
Wenye haki na wenye hekima pamoja na matendo yao yote wamo mikononi mwa Mungu.
 
Mafisadi ya ltatubu sekunde ya mwisho kabla ya kifo, halafu utayakuta yana-enjoy na huko peponi pia.
 
Swala
  1. Surah An-Nisa (4:58):
    • "Hakika Mwenyezi Mungu anawaamrisha mtende haki, na kuweka usawa na kuwa na uwajibikaji katika mambo yote. Na kuwa na uaminifu kwa wale walio na dhamana, na kutenda kwa haki kati ya watu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda walio na haki."
    • Surah Al-Baqarah (2:81):
      • "Hapana shaka, hawa ni wale walio na dhambi kwa sababu ya kumficha ukweli kwa ajili ya fedha za kidunia na hawatakuwa na sehemu nzuri katika Akhera."


Ukisoma aya hizi halafu ukawa mtu uliopewa dhamana ya Kuongoza jamii lazima utandeka haki.
Wenyewe wanakuambia kwamba Sheria duniani Haki mbinguni.
 
Back
Top Bottom