28/03/2015
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 366
- 335
Jamani Mimi Nimehitimu Chuo Cha Kilimo, Lakini Kutokana Na Ukosefu Wa Ajira Nataka Kutumia Ujuzi Nilio Nao Wa Kutengeneza Incubator Ktk Kujimudu Kimaisha, Lakini Tatizo Sina Mtaji Hata Wa Kununulia Vifaa Ili Nianze Kazi, Sasa Kwa Yeyote Anayeweza Akanisaidia Kimawazo/ushauri Au Kwa Namna Nyingine, Au Pia Anayehitaji Mashine,