fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Kama unajua mambo ya futiboli utajua nachoongea kama huyajui ni ngumu kunielewaNdo nini mkuu?
sio kila mtu anajua humu ungefafanua mkuu,kafanyaje huyo mtenje albanoKama unajua mambo ya futiboli utajua nachoongea kama huyajui ni ngumu kunielewa
sio kila mtu anajua humu ungefafanua mkuu,kafanyaje huyo mtenje albanoKama unajua mambo ya futiboli utajua nachoongea kama huyajui ni ngumu kunielewa
Uyo mtenje albano bwana kabla ya mechi ya yanga na fountain gate alikuwa anahojiwa na vyombo vya habari akasema aijawai kutokea timu anayokuwepo yeye ikafungwa na yanga zaidi ya goli Moja,,ivyo ata mechi ambayo wangecheza na yanga kwake ni kama mazoezi tu,,sasa kilichofatia amepokea kichapo cha goli 5 na goli Moja limepitia upande wake,,alivyoona mambo mazito akajivunja akatolewa nje🤣🤣🤣sio kila mtu anajua humu ungefafanua mkuu,kafanyaje huyo mtenje albano
ha ha ha ametrendi jana
Atakua amefanya mambo mabaya...sio kila mtu anajua humu ungefafanua mkuu,kafanyaje huyo mtenje albano