hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Wakuu.
Ni kilio Cha jamaa angu kilisikika huku akionekana kughadhabika Sana akidai kuwa.
Platform maarufu ya forex ijulikanayo kwa jina la MTFE imewaliza watu baada ya pesa kukataa kutoka.
Kila walijaribu Kutoa pesa wanaambiwa Kuna tatizo limejitokeza wajaribu tena baada ya siku saba, lakini siku saba zimeisha na hakuna matumaini yoyote bado tatizo ni lilelile.
Kama ilivyo kwa platform zingine ambazo hutoweka na pesa za watu, MTFE nayo imefanya hivo.
tuwaombe vijana wenzetu wa kitanzania waliokuwa wamewekeza dola nyingi kwa ndoto kubwa.
Ni kilio Cha jamaa angu kilisikika huku akionekana kughadhabika Sana akidai kuwa.
Platform maarufu ya forex ijulikanayo kwa jina la MTFE imewaliza watu baada ya pesa kukataa kutoka.
Kila walijaribu Kutoa pesa wanaambiwa Kuna tatizo limejitokeza wajaribu tena baada ya siku saba, lakini siku saba zimeisha na hakuna matumaini yoyote bado tatizo ni lilelile.
Kama ilivyo kwa platform zingine ambazo hutoweka na pesa za watu, MTFE nayo imefanya hivo.
tuwaombe vijana wenzetu wa kitanzania waliokuwa wamewekeza dola nyingi kwa ndoto kubwa.