Nellyonjolo1
Senior Member
- Dec 2, 2012
- 120
- 39
Maana ya tukio hili ni kuna mtu alidondoka aka weza kumka.
Baada ya kuamka kuna watu walionzunguka wanamzongazonga kwa matendo yao yasiyo kubalika katika jamii. Ndio hicho kinacho onyesha mti huo umebanduliwa banduliwa.
Hatari yake ni kuwa bahati mbaya ukachiwa kuendelea kubanduliwa ukidondoga lazima huyu mtu adondoke jumla.
Kumjua huyo mtu, angalia rangi ya majani ya huo mti hapo awali kabla ya kudondoka.
kujua wanao mzonga, angalia eneo la mti uliodondoka kijografia. Na pia agalia matunda au maua yatokanayo na huo mti yako vipi kimaumbile.
Tunatishana sasa