MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Kuna aina fulani ya mti nimkubwa tu na ni wa asili hupatikana msituni maeneo mbalimbali.
Mti huu unatumika kama dawa ya kutibu magonjwa mbalimbali.
Sifa za mti huu ni kuwa ndege akipaa usawa wa mti huo lazima afe na anaanguka chini ya mti husika.
Miti hii ilikuwepo kwa wingi lakini kwa sasa kupiata ni shida.
Kupitia jukwaa hili mwenye kujua ulipo aweza kuwasiliana nami.
Mti huu unatumika kama dawa ya kutibu magonjwa mbalimbali.
Sifa za mti huu ni kuwa ndege akipaa usawa wa mti huo lazima afe na anaanguka chini ya mti husika.
Miti hii ilikuwepo kwa wingi lakini kwa sasa kupiata ni shida.
Kupitia jukwaa hili mwenye kujua ulipo aweza kuwasiliana nami.