Mti wa Chuma ni nani humu JF?

Mkuu ulikuwa unataka kuonana nami au?
Nipo napatikana. Mengineyo kama unayo ya muhimu uniPM.
 
Mimi amenixaidia xana nilikuwa na tatizo la kuziba mirij ya uzazi akanifanyia kixomo na xaxa nina ujauzito. But kila nikijarib kutk kuonana naye nakwama.
Hapo kwenye xa ulimaanisha nini?
 
Itabidi nikutafute kwa maelezo zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…