Mkuu huo mti ni noma unatibu madawa kibao nani ndiyo mtipekee uliyotajwa kwenye biblia kuna sehem yesu aliufanyia maajabu.
Kuna watu wanapika xana diri kupitia mti huo kwan wanasafirisha mbegu zake kimya kimya kam unashida ya nguvu za kiume,au unamatatizo ya mbegu ukitumia hii mkeo anaweza kukukimbia maana utakuwa unamuogesha kwa mabao