Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Nimekuwa nikisikia habari kuwa mti (wengine wanauita mlonga)huu umekuwa ukitumika kama zindiko katika mahospitali na umekuwa ukipandwa ktk entrance za hospitali. Kwa anaejua zaidi kuhusu habari ya huu mti naomba anijuze..