SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Napenda kuwapa pole CCM kwa kuondokewa na kada makini aliyekipenda sana chama chake.
Dkt. Donald Kisanga alikuwa kada wa CCM na mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini
Kiongozi wa chama cha waimbaji wa injili Tanzania.
Amefariki kwa ajali ya gari huko Dodoma.
Mwenyekiti wa UVCCM Kinondoni Oysterbay, Dkt. Donald Kisanga amefariki kwa ajali ya gari mjini Dodoma jana, Kisanga pia alikuwa mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Dkt. Donald Kisanga alikuwa kada wa CCM na mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini
Kiongozi wa chama cha waimbaji wa injili Tanzania.
Amefariki kwa ajali ya gari huko Dodoma.
Mwenyekiti wa UVCCM Kinondoni Oysterbay, Dkt. Donald Kisanga amefariki kwa ajali ya gari mjini Dodoma jana, Kisanga pia alikuwa mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.