TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

Napenda kuwapa pole CCM kwa kuondokewa na kada makini aliyekipenda sana chama chake.

Dr.Donald Kisanga alikuwa kada wa CCM na mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini

Kiongozi wa chama cha waimbaji wa injili Tanzania.

Amefariki kwa ajali ya gari huko Dodoma.View attachment 1532355View attachment 1532356View attachment 1532357View attachment 1532358View attachment 1532359
Very Sad. Ana Sura kama ya Dr Kisanga Mtalaamu wa Magonjwa ya Figo Muhimbili. Daaah Sijui ni Mwamaee!!? RIP Kijana Doctor.
 
The work of his village people. Rip to him
 
Hizi ajali hizi kila siku Ndiyo huo Wimbo Unaimbwa 🤦🏿‍♂️ suluhisho Ndio hakuna ??
 
Back
Top Bottom