TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

TANZIA Mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini, Dkt. Donald Kisanga afariki dunia baada ya kupata ajali ya gari Dodoma

Nahisi uko nyuma haupo salama, maana sio kwa ujinga huo. Umeelezwa kwa ufupi, umejibu kwa marefu bila maana yo yote. Pole sana.
Mimi nyuma sipo salama wewe mbele ndio salama...

Sio lazima unielewe au uelewe nilichosema,na sio lazima kiwe sahihi kwako wewe!

Nimejibu kwa urefu,niliemjibu kaelewa,who the fvck are you then?

Wewe unataka nini na niliemjibu ameelewa na kanijibu thereafter?Wewe ulitaka nikujibu wewe,kivipi kwa mfano?
 
Acha upu*bav*. Mimi naongelea Kisanga ambaye ni marehemu, tena nimerudia neno marehemu x4 kwenye huu uzi. Wewe unamsema Kisanga ambaye yuko hai. Siyo uj*ng* huo? Ama unataka kuonnyesha watu kuwa unamfahamu daktari Muhimbili? Mimi nimesema marehemu Kisanga bingwa wa mkojo, wewe unaongelea bingwa wa figo! Wapi na wapi? Haki ya mama kazi ya kufundisha kumbe ni ngumu hivi. Walimu waongezewe mshahara tafadhali. Ukiwa na wanafunzi 3 kama wewe darasani, utajiuzuru ualimu bila kupenda.
Mkuu ,Kisanga Dr wa Figo Muhimbili ana mtoto mkubwa hivi?
 
Hakuna atakayesalia chini ya Jua,Apumzike kwa Amani Dkt.Donald Kisanga
 
Umeambiwa ajali unakazana na Covid19, kama rafiki yako amepoteza watu kipi unahisi wewe upo salama?

Watu wanaomboleza unaleta mambo ya ajabu.


Ndo hapo sasa mtu amefariki kwa ajali yeye anasema covid 19 dah wabongo kila mtu mtalaamu inabore sanaaa
 
Sikumuelewa ndugu yake aliweka picha yake status akuandika chochote kumbe mwamba kakata kamba mbele yake nyuma yetu
Screenshot_20200810-062119.jpeg
 
Wewe Ni mchawi mkubwa MUNGU akusamehe
Unapitisha matusi kwenye sentensi hiyo hiyo unayomuomba mshikaji wako Mungu eti anisamehe,hii ndio oxymoron yaani!

Mungu anakutambua sana na unaweza mpa instructions of what to do?

Mimi mchawi na wewe ni malaika?

Afe,na mimi nitakufa na wewe pia na yule,it is a matter of time....Mimi kufurahi yeye kufa ni my reaction and it belongs to me not you!

My reaction is entirely mine,huwezi nilazimisha how to react on anything...
 
Back
Top Bottom