Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hiyo gari ni ya masafa mafupi? Yaani misele tu ya town!! Inakuwaje gari ya kuendea kazini na sokoni ameenda nayo masafa marefu?RIP Dr.Donald Kisanga Mwanaukwata na Mwana Mazengo Sekondari mwanaCCM View attachment 1532539View attachment 1532540
Ina tafsiri pana kirohoNi miongoni mwa makada walioenda kumsindikiza JPM kuchukua fomu Dodoma.
Hee ..kumbe erythrocyte ni mbunge? Safi Sana ....kudos to her💋!Swali la kipumbavu sana toka kwa mtu aliyekuwa mbunge bunge lililopita. Huyu Erythro alikuwa na muda wa kusoma makabrasha ya huko bungeni?!
Mbona hiyo gari ni ya masafa mafupi? Yaani misele tu ya town!! Inakuwaje gari ya kuendea kazini na sokoni ameenda nayo masafa marefu?
Ndinga zimeua sana vijana wanaoanza maisha ,hawana uzoefu na long route pia wanadhani kila gari unaweza ukakanyaga pedal kutafuta mkoa mwingine.....Anyway kullu nafsin zaiqatul maut.Inategemea na kipato. Wengine tunakatiza nchi hii kwa Vitz. Inawezachukuwa juma zima lakini huwa tunafika. Alikuwa kijana mdogo. Ndio alikuwa anaanza maisha. Sitegemei awe na Landcruiser.
Mbona hiyo gari ni ya masafa mafupi? Yaani misele tu ya town!! Inakuwaje gari ya kuendea kazini na sokoni ameenda nayo masafa marefu?
Ndg sio fairKujipendekeza kumemtokea puani
Wanapatwa mabalaa gani mkuu?Duh hii famili ya Kisanga inakumbwa na mabalaa sana.
Kufa wote tutakufa, hawa nawaonea huruma, nadhani kwasababu nawafahamu baadhi yao ndio maana.
Wanaowafahamu watanielewa.